Askofu Benson Bagonza (PhD): Mandela na Mbowe ni sawa, maana mbinu alizoshugulikiwa nazo Mandela na Wakoloni ndio Mbowe anashugulikiwa nazo

L
Huyo baba Askofu sio mjinga wa hivyo, anajua chanzo cha hiyo kesi ni kuharibu taratibu za uchaguzi kwa amri ya jiwe. Na hicho kinachoendelea kwenye hiyo kesi ni sehemu ya kuisafisha serekali na mauaji ya Akwilina na kuficha uchezeaji wa box la kura chini ya utawala wa jiwe. Ukweli uko wazi akina Mbowe wanaonewa kwakuwa hawana dola na mwenye dola anaweza kuiagiza mahakama itii anachotaka.
Laaana ya chato mkuu.! Mungu mkuu. Walikuwepo kina babangida, leo hawapo. Kina mobutu seseseko! Walimaliza vibaya mwendo.
 
Umehangaisha ubongo wako kujua kesi wanayoshtakiwa nayo?
Baba Askofu kabla hujaanza kumfananisha Mbowe na Mandela pengine ungekaa na Mbowe na kumweleza umuhimu wa kuwa mkweli. Alituma ujumbe Mahakani kuwa yuko Mahututi kwenye hospitali moja huko Afrika Kusini, kumbe ameenda Ubelgiji kwa mambo yake! Na alivyomsahaulifu akatuma na picha kabisa. Sasa leo hii wewe mtumishi wa Mungu na majoho yako umeshindwa hata kusimamia hilo ili siku nyingine asiseme uwongo? Au ile Amri ya Tano imefutwa kwenye kitabu cha baba Askofu?
 
View attachment 959204

Maneno ya Baba Askofu Dr.Benson Bagonza (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe.
"Japokua Mbowe ni tofauti na Mandela, lakini mbinu za kumshughulikia Mbowe zikifanana na zile zilizomshughulikia Mandela, basi Mandela na Mbowe wanakuwa sawa. Na kwa hiyo waliomshughulikia Mandela wanakuwa sawa na wanaomshughulikia Mbowe. Tunahitaji nguvu ya hoja" (si nguvu ya dola).!

stone tangawizi na wakina wcb aka misifa lazima watakuja juu
 
Kazaa Na malaya huyo usiende kutafuta maombi kwake hatakiwi kuombea wengine ajiombee yeye Na nafsi yake Na madhambi yake ya Uzinzi yaliyokubuhu Yeye ndio anatakiwa atafute wa kumwombea sababu kashindwa kudhibiti tamaa za Uzinzi atafute waombaji wakemee pepo lake la Uzinzi aliloshindwa kulidhibiti kwa kofia ,Fimbo ,Pete Na gwanda la uaskofu
akili ndogo ya ccm kujificha kwao kwenye hoja nimatusi
 
Mama yangu we
Mpiga disco tangu azaliwe na mla ruzuku una mfananisha jemedari?
Uzee mbaya sana
 
Baba Askofu kabla hujaanza kumfananisha Mbowe na Mandela pengine ungekaa na Mbowe na kumweleza umuhimu wa kuwa mkweli. Alituma ujumbe Mahakani kuwa yuko Mahututi kwenye hospitali moja huko Afrika Kusini, kumbe ameenda Ubelgiji kwa mambo yake! Na alivyomsahaulifu akatuma na picha kabisa. Sasa leo hii wewe mtumishi wa Mungu na majoho yako umeshindwa hata kusimamia hilo ili siku nyingine asiseme uwongo? Au ile Amri ya Tano imefutwa kwenye kitabu cha baba Askofu?

Uzee unasumbua
Muhurumie baba askofu
 
Baba Askofu kabla hujaanza kumfananisha Mbowe na Mandela pengine ungekaa na Mbowe na kumweleza umuhimu wa kuwa mkweli. Alituma ujumbe Mahakani kuwa yuko Mahututi kwenye hospitali moja huko Afrika Kusini, kumbe ameenda Ubelgiji kwa mambo yake! Na alivyomsahaulifu akatuma na picha kabisa. Sasa leo hii wewe mtumishi wa Mungu na majoho yako umeshindwa hata kusimamia hilo ili siku nyingine asiseme uwongo? Au ile Amri ya Tano imefutwa kwenye kitabu cha baba Askofu?
Kesi yenyewe inayomtaka mbowe awe akiripoti na kutokutoka nje ya nchi ndio msingi mkuu wa uonevu, ukandamizaji na uongo uliopindukia mipaka kati ya watawala na watawaliwa. Jiulize kina Mbowe wanashitakiwa kwa kosa gani katika kesi ya msingi?
 
Huyu askofu koko hajui uaskofu anatakiwa atumie mitandao kuhubiri injili sio siasa.Hajui Matumizi ya mitandao kama kiongozi wa dini
Luka 3
12 Watoza ushuru nao wakaja kubatizwa, wakamwuliza, Mwalimu, tufanye nini sisi?

13 Akawaambia, Msitoze kitu zaidi kuliko mlivyoamriwa.

14 Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtoshewe na mshahara wenu.

INJILI HALISI NI LAZIMA IWE KWELI YA UHALISI WA KINACHOENDELEA KATIKA JAMII.
 
Huyu askofu koko hajui uaskofu anatakiwa atumie mitandao kuhubiri injili sio siasa.Hajui Matumizi ya mitandao kama kiongozi wa dini
Ongea yote lakini kumuita Bagonza aliyesimikwa Uaskofu Kikasisi ni upumbavu uluotukuka. Hata kama hutaki hoja zake au zinakugusa Mbwa koko kama wewe huna udhu wa kumuita Bagonza jina la kipuuzi.
 
View attachment 959204

Maneno ya Baba Askofu Dr.Benson Bagonza (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe.
"Japokua Mbowe ni tofauti na Mandela, lakini mbinu za kumshughulikia Mbowe zikifanana na zile zilizomshughulikia Mandela, basi Mandela na Mbowe wanakuwa sawa. Na kwa hiyo waliomshughulikia Mandela wanakuwa sawa na wanaomshughulikia Mbowe. Tunahitaji nguvu ya hoja" (si nguvu ya dola).!
Amen baba Askofu.

Mungu atatoa hukumu kwa watesi lazima.. ni suala la muda tu!
 
Baba Askofu kabla hujaanza kumfananisha Mbowe na Mandela pengine ungekaa na Mbowe na kumweleza umuhimu wa kuwa mkweli. Alituma ujumbe Mahakani kuwa yuko Mahututi kwenye hospitali moja huko Afrika Kusini, kumbe ameenda Ubelgiji kwa mambo yake! Na alivyomsahaulifu akatuma na picha kabisa. Sasa leo hii wewe mtumishi wa Mungu na majoho yako umeshindwa hata kusimamia hilo ili siku nyingine asiseme uwongo? Au ile Amri ya Tano imefutwa kwenye kitabu cha baba Askofu?
Sishangai. Ukristo umevamiwa. Nadhani huyu askofu ndio yule mwenye tuhuma za kumzalisha binti wa watu na kumtekeleza yeye na mtoto wake. Sasa unatarajia nini kwa mtu kama huyo ambaye anajitambulisha kama mtumwa wa Kristo?
 
Hapa utakuwa umemlisha Askofu wa watu maneno ambayo hajasema. Mathematically this is not correct. there is no correlations analysis btw Mbowe and Mandela
Mwanabodi, soma vzr Bandiko, amezungumzia "MBINU zinazotumika".....
Hakuna haja ya kufanya conclusions...
 
Ongea yote lakini kumuita Bagonza aliyesimikwa Uaskofu Kikasisi ni upumbavu uluotukuka. Hata kama hutaki hoja zake au zinakugusa Mbwa koko kama wewe huna udhu wa kumuita Bagonza jina la kipuuzi.
Wewe ana watoto nje ya ndoa huyo Na kawazaa akiwa askofu bwege wewe Hana maadili huyo atoe banzi jicho lake Kwanza
 
Luka 3
12 Watoza ushuru nao wakaja kubatizwa, wakamwuliza, Mwalimu, tufanye nini sisi?

13 Akawaambia, Msitoze kitu zaidi kuliko mlivyoamriwa.

14 Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtoshewe na mshahara wenu.

INJILI HALISI NI LAZIMA IWE KWELI YA UHALISI WA KINACHOENDELEA KATIKA JAMII.
vipi Na Uzinzi Unaendelea kwenye maisha yake huyo askofu koko hautakiwi kusemwa
 
Tofauti ni mmoja dhidi ya wakoloni weupe na mwingine dhidi ya mkoloni mweusi toka chatu
 
Back
Top Bottom