Askofu Bagonza: Tuna muhimili mmoja unaopakwa rangi

Achana na waropokaji wewe kazi ya askofu ni kuvuna kondoo wa Bwana kuwapeleka Kwa muumba wao na sio kuimarisha ufalme wa kidunia , askofu wa hovyo Sana
 
Achana na waropokaji wewe kazi ya askofu ni kuvuna kondoo wa Bwana kuwapeleka Kwa muumba wao na sio kuimarisha ufalme wa kidunia , askofu wa hovyo Sana
Utakufa usiku kwa laana ya askofu
 
Punguza kasiriko babu!!
Achana na waropokaji wewe kazi ya askofu ni kuvuna kondoo wa Bwana kuwapeleka Kwa muumba wao na sio kuimarisha ufalme wa kidunia , askofu wa hovyo Sana
 

Attachments

  • insta_23_20211203_005533.mp4
    537.3 KB
Hitaji la Katiba Bora ni la Watanzania wote, Kuna siku sio mbali tutaimba wimbo pamoja.
 
Ok, nimemuelewa Askofu, kwa sasa wacha mapambio yaendelee.
 
Tuna mhimili mmoja. IKUBALIKE BILA MANUNGUNIKO. Asubuhi Wanaupaka rangi ya serikali. Mchana wanaubadili rangi unakuwa mahakama. Jioni unapakwa rangi ya bunge. Hakikisheni rangi imo ya kutosha kwenye makopo na wapakaji wawe sharp ili kuokoa muda.
V
Kuna kitu hakiko sawa.
Welcome home Kamarade
1641378676851.png
 
Back
Top Bottom