Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 281
- 284
Habari wanajukwaa.
Leo nilikuwa nasafiri nilipofika stend nimeikuta Noah inapakia abiria. Ajabu ticket ina maelezo ya gari nyingine, lakini yenyewe plate namba nyingine.
Tumetoka pale tupo 8 na ilipotoka stend ikapakia tena wawili kwenye buti, wengine wakasimama ndani na mwingine mbele kwa dereva manake mbele abiria wa3 nje na dereva, jumla ya abiria 15 na mizigo juu hadi roof inagonga. Nikawambia ni hatari kwa watu na mali yao.
Usalama barabarani fuatilieni hili gari isijaze kuliko uwezo Mbinga via Litembo. Askari msijali maokoto tu.
Leo nilikuwa nasafiri nilipofika stend nimeikuta Noah inapakia abiria. Ajabu ticket ina maelezo ya gari nyingine, lakini yenyewe plate namba nyingine.
Tumetoka pale tupo 8 na ilipotoka stend ikapakia tena wawili kwenye buti, wengine wakasimama ndani na mwingine mbele kwa dereva manake mbele abiria wa3 nje na dereva, jumla ya abiria 15 na mizigo juu hadi roof inagonga. Nikawambia ni hatari kwa watu na mali yao.
Usalama barabarani fuatilieni hili gari isijaze kuliko uwezo Mbinga via Litembo. Askari msijali maokoto tu.