Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Wadau niko kwenye hiace nasafiri kutoka kigoma kuelekea kibondo.
Tumejazwa kama dagaa kwenye maboksi, gari imepakia mizigo na linakimbia sijawahi kuona, Kinachonishangaza hapa ni kwamba tumeshavipita vituo viwili vya trafic lkn kila tunapofika kwenye vituo hivyo dereva anaenda kusimama mbele zaidi hlf anarudi nyuma anaongea na trafik na safari inaendelea hawa jamaa hawakagui usalama wa gari na abiria hata kidogo tumemuuliza dereva amesema hiyo ni kawaida wao wamezoea.
Nimepanga tukifika kituoni niende kushitaki kwa mkuu wa wilaya au wadau mnasemaje?
Tumejazwa kama dagaa kwenye maboksi, gari imepakia mizigo na linakimbia sijawahi kuona, Kinachonishangaza hapa ni kwamba tumeshavipita vituo viwili vya trafic lkn kila tunapofika kwenye vituo hivyo dereva anaenda kusimama mbele zaidi hlf anarudi nyuma anaongea na trafik na safari inaendelea hawa jamaa hawakagui usalama wa gari na abiria hata kidogo tumemuuliza dereva amesema hiyo ni kawaida wao wamezoea.
Nimepanga tukifika kituoni niende kushitaki kwa mkuu wa wilaya au wadau mnasemaje?