Wakati barabara ya Maendela taa hazijawashwa, askari traffic walikuwa hawaongozi magari kwenye mataa. Kila siku pale uhasibu/kilwa rd kulikuwa kunatokea ajali mara kwa mara the same na pale Chang'ombe. Hivi sasa taa zimewashwa askari ndo wako kimbelembele kuongoza magari. Hivi askari wanapata ''raha'' gani kuongoza magari?. Maana utaona mchana wa jua kali au mvua inanyesha askari anaongoza magari! kwanini wasiache taa ziongoze magari.
Hivi sasa askari ndo chanzo cha foleni kwa sababu hawawezi kubalance kuita magari toka kila upande. Wazo la askari kuongoza magari lilikuwa zuri wakati ule msongamano wa magari ulikuwa unakuwa kwa baadhi ya barabara lakini hivi sasa msongamano ni kila barabara na kila upande....hivyo huna haja ya kuwa na askari. Mfano pale Ubungo mataa pande zote kuna magari sawa acha taa ifanye fair kuliko askari.
Ushauri mwingine malori barabara ya Mandela yaaanze kutoka bandarini saa tatu usiku itasaidia sana kupunguza foleni....halafu vitengo vya Bandarini wafanye kazi masaa 24 au angalau hadi sanaa sita usiku....itasaidia sana kupunguza foleni
Hivi sasa askari ndo chanzo cha foleni kwa sababu hawawezi kubalance kuita magari toka kila upande. Wazo la askari kuongoza magari lilikuwa zuri wakati ule msongamano wa magari ulikuwa unakuwa kwa baadhi ya barabara lakini hivi sasa msongamano ni kila barabara na kila upande....hivyo huna haja ya kuwa na askari. Mfano pale Ubungo mataa pande zote kuna magari sawa acha taa ifanye fair kuliko askari.
Ushauri mwingine malori barabara ya Mandela yaaanze kutoka bandarini saa tatu usiku itasaidia sana kupunguza foleni....halafu vitengo vya Bandarini wafanye kazi masaa 24 au angalau hadi sanaa sita usiku....itasaidia sana kupunguza foleni