Askari Polisi auwawa na jambazi sugu huko Tarime

KIBURUDISHO

JF-Expert Member
Mar 28, 2011
1,002
274
Nikiwa Mwanza mtaani maeneo ya bandarini nimeiona gari ya polisi ikiwa imefika ikiwa na mwili wa marehemu tayari kwa usafiri wa meli wa saa nne usiku kwenda Bukoba.Kwa bahati nzuri kati ya askari waliokuwa katika gari ile kulikuwa na askari mmoja ninae mfahamu tulisalimiana na kumuuliza wapi wanakotoka na wanakokwenda.Akaniambia wanatoka Serengeti wanaelekea Bukoba na aliyefariki ni askari mwenzao aliyemtaja kwa jina moja la Upendo(kiume) wa kituo cha polisi cha Mugumu Serengeti na alikutwa na mkasa huo jana usiku maeneo ya huko Tarime alipigwa risasi ya shingoni walikokuwa wamekwenda kumkamata jambazi sugu.
 
Mmmmmhh! Kweli hali shwari hata kidogo TZ ye2. Lkn hata maaskari wame2malizia ndg wengi wasio na hatia. Lkn nasema poleni sana ndg,jamaa na hata marafiki ktk wakati mgumu wa majonzi kama hii.
 
Polen maaskari, ndio maana sasa hivi mkakati ni kuwauwa majambaz tu hakuna cha mahakaman wala nini. Juz wameuawa 6 biharamulo kwa kigezo cha kurushiana risas na polisi.
 
Nikiwa Mwanza mtaani maeneo ya bandarini nimeiona gari ya polisi ikiwa imefika ikiwa na mwili wa marehemu tayari kwa usafiri wa meli wa saa nne usiku kwenda Bukoba.Kwa bahati nzuri kati ya askari waliokuwa katika gari ile kulikuwa na askari mmoja ninae mfahamu tulisalimiana na kumuuliza wapi wanakotoka na wanakokwenda.Akaniambia wanatoka Serengeti wanaelekea Bukoba na aliyefariki ni askari mwenzao aliyemtaja kwa jina moja la Upendo(kiume) wa kituo cha polisi cha Mugumu Serengeti na alikutwa na mkasa huo jana usiku maeneo ya huko Tarime alipigwa risasi ya shingoni walikokuwa wamekwenda kumkamata jambazi sugu.
Poleni sana. Wapi hasa?
 
Nikiwa Mwanza mtaani maeneo ya bandarini nimeiona gari ya polisi ikiwa imefika ikiwa na mwili wa marehemu tayari kwa usafiri wa meli wa saa nne usiku kwenda Bukoba.Kwa bahati nzuri kati ya askari waliokuwa katika gari ile kulikuwa na askari mmoja ninae mfahamu tulisalimiana na kumuuliza wapi wanakotoka na wanakokwenda.Akaniambia wanatoka Serengeti wanaelekea Bukoba na aliyefariki ni askari mwenzao aliyemtaja kwa jina moja la Upendo(kiume) wa kituo cha polisi cha Mugumu Serengeti na alikutwa na mkasa huo jana usiku maeneo ya huko Tarime alipigwa risasi ya shingoni walikokuwa wamekwenda kumkamata jambazi sugu.

Hizi habari zinatisha lakini!
 
Back
Top Bottom