Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,957
- 22,156
Sikutishi nakwambia tu ujijue asilimia kubwa awafi kwa mapenzi ya mungu kama tunavyojidanganya
watanzania ni wakati wa kusema no imetosha jamani....kama wewe ni mmoja wao wa wanaofanyakazi ya kuchukua.msukule tumeanza maombi rasmi kwa ajili yenu
kamanalivyoondoka msomanyota. Mwaka. Huu tutawamaliza wote mliojipangankutesa
watu uvunguni
kama wamwamini yesu
sema 2014 sitozika msukule
.sitozika. Mgomba kwa jina. La yesu
naiwe kwako kama ulivyosema
watanzania ni wakati wa kusema no imetosha jamani....kama wewe ni mmoja wao wa wanaofanyakazi ya kuchukua.msukule tumeanza maombi rasmi kwa ajili yenu
kamanalivyoondoka msomanyota. Mwaka. Huu tutawamaliza wote mliojipangankutesa
watu uvunguni
kama wamwamini yesu
sema 2014 sitozika msukule
.sitozika. Mgomba kwa jina. La yesu
naiwe kwako kama ulivyosema