Asilimia 30 ya wanaokufa wanachukuliwa msykule

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,957
22,156
Sikutishi nakwambia tu ujijue asilimia kubwa awafi kwa mapenzi ya mungu kama tunavyojidanganya

watanzania ni wakati wa kusema no imetosha jamani....kama wewe ni mmoja wao wa wanaofanyakazi ya kuchukua.msukule tumeanza maombi rasmi kwa ajili yenu

kamanalivyoondoka msomanyota. Mwaka. Huu tutawamaliza wote mliojipangankutesa
watu uvunguni


kama wamwamini yesu

sema 2014 sitozika msukule
.sitozika. Mgomba kwa jina. La yesu

naiwe kwako kama ulivyosema
 
Sikutishi nakwambia tu ujijue asilimia kubwa awafi kwa mapenzi ya mungu kama tunavyojidanganya

watanzania ni wakati wa kusema no imetosha jamani....kama wewe ni mmoja wao wa wanaofanyakazi ya kuchukua.msukule tumeanza maombi rasmi kwa ajili yenu

kamanalivyoondoka msomanyota. Mwaka. Huu tutawamaliza wote mliojipangankutesa
watu uvunguni


kama wamwamini yesu

sema 2014 sitozika msukule
.sitozika. Mgomba kwa jina. La yesu

naiwe kwako kama ulivyosema

Pdidy una vituko kinoma mtu wangu, yaani mimi huwa skuelewi kabisa mkuu.
 
Nuru NA GIZA AVIENDANI USIUMIZE KICHWA KUNIELEWA MKUU

HIYO NI MAANDIKO NA LAZIMA YATIMIE

NA KUTIMIA KAMA HUJUKU KWI KWK WAPI WEEKEND
 
"wamejivisha u-know-how safina zao zikatoboka,wakajivisha u-mussa fimbo zao hazikugeuka nyoka,sasa wanaujaribu u-mungu mtu kuamua nani leo atatoka?"
 
Mkuu, una-JF live kutoka Goma, Kinshasa, kwa Kagame au Beijing? Manake huwa napata shida sana kuelewa kiswahili chako Pdidy.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom