Mkomamanga
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 815
- 189
Mada nzuri sana na inaeleza ubovu wa militarization of part politics. Shida ni sisi wenyewe kukubali daima kutatua matatizo kwa njia ya kuangalia matokeo badala ya kuangalia kiini cha matokeo. Kote duniani iwe ni huko kwa Putin, kwa Hitler na Musolini na kwa sasa kwa JK na Mbowe, hakuna hata mara moja militarization ilileta amani ila shari tu. Ajabu ni pale tunapokumbatia mifumo mibovu na tukiwa wenyewe tunaona ni baraka iki-backfire kwa njia ya pili tunasema ni hatari kwa usalama wa nchi. Kimsingi Red Brigade ni effect ya Green Guard kwa hiyo tukitaka kufuta Red Brigade lazima kwanza tufute Green Guard halafu tujadili nani anatumia nani katika uhalifu huu wa kisiasa.