Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,022
- 1,305
Mi mwenyewe mbona sisemi?Pamoja na hiyo source hapo juu,pengine kuna madudu ameyaona akaamua aache arudi kufundisha UDSM
uyo ban ki-moon yy mwenyewe anafanya nini! ye si ndo mkuu! nisawa na yale yale ya kuvunja baraza la mawaziri tu! wakati UN inaendeshwa ki maslahi ya taifa fulani hapa duniani!mama huyo asingewafiti kwenye masilahi yao. si mnamuona koffi annan sasa ivi anavyowafiti kwenye masilahi yao! UN sawa na chama fulani hapa TZ