Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,099
- 630
Siyo wewe wala mama yako mwenye uwezo wa kunitisha wala wapumbavu wenzio....
Endelea kuchezea Serikali,,,,Utayaona madhara yake.
Siyo wewe wala mama yako mwenye uwezo wa kunitisha wala wapumbavu wenzio....
Acha uongo na ushabiki wa kijinga. Soma sheria ya usalama wa taifa ya mwakan1966 kifungu na. 21 na 22 ujue ni namna gani wanajeshi wanaitwa kufanyakazi uraiani. Wanajeshi wanaoshiriki wanamamlaka kamili ya kazi za polisi kwa lengo la kufanya kazi za kijeshi tu na hawawezi kuvaa mavazi ya polisi.
acha umbulula wewe,unamtisha nani we panyabuku la ccm ?
Acha uongo na ushabiki wa kijinga. Soma sheria ya usalama wa taifa ya mwakan1966 kifungu na. 21 na 2
2 ujue ni namna gani wanajeshi wanaitwa kufanyakazi uraiani. Wanajeshi wanaoshiriki wanamamlaka kamili ya kazi za polisi kwa lengo la kufanya kazi za kijeshi tu na hawawezi kuvaa mavazi ya polisi.
Acha uongo na ushabiki wa kijinga. Soma sheria ya usalama wa taifa ya mwakan1966 kifungu na. 21 na 22 ujue ni namna gani wanajeshi wanaitwa kufanyakazi uraiani. Wanajeshi wanaoshiriki wanamamlaka kamili ya kazi za polisi kwa lengo la kufanya kazi za kijeshi tu na hawawezi kuvaa mavazi ya polisi.
Acha uongo na ushabiki wa kijinga. Soma sheria ya usalama wa taifa ya mwakan1966 kifungu na. 21 na 22 ujue ni namna gani wanajeshi wanaitwa kufanyakazi uraiani. Wanajeshi wanaoshiriki wanamamlaka kamili ya kazi za polisi kwa lengo la kufanya kazi za kijeshi tu na hawawezi kuvaa mavazi ya polisi.
haya tuonyeshe na sheria inayoruhusu wanajeshi kufanya kazi za kipolisi kwa kutumia vifaru na magari ya deraya.
Kama Mwanajeshi kaonekana kavaa magwanda ya polisina ushahidi upo UNABISHA NINI?. Kawaida ya Tanzania sheria zilizoandikwa hazitumiki ila kiongozi wa nchi ndiye anayeeamua jinsi ya kuitumia sheria. Kwa mfano kukutana hadharani ni haki ya kila mtu na iko kimaandishi kisheria lakini " Polisi sasa wanazuai nini na kwa nini"?. Sheria za TZ siyo msumeno bali zinakata kurudi nyuma(waliko wapinzani, UKAWA, Wanafunzi, Waalimu na minority wengine ) na siyo kwenda mbele waliko( Maandamano na mikutano ya Kinana na Nape wa CCM), Liwalo na Liwe(MKP), mkuu wa Nchi na viongozi wengine) . Ukileta sheria za kwenye vitabu hapa unatupotezea muda
Kumbe ndio lengo lenu? Kuwa mnaanzisha migomo na maandamano ili deni la taifa liongezeke mpate sababu ya kupigia propaganda za kisiasa!!!
Sasa kama wameelimika wametokana wapi na chadema chama cha kilaghai.
Hebu nyoosha vizuri swali lako lieleweke!
Kingekua kimekufa msingekwenda kuomba misaada ya computer kupambana na Chadema mitandaoni
tisho gani? wananchi wa mtwara wana silaha gani mpaka wakatulizwe na vifaru vya kijeshi? nakwambia sisiem iko above the law, inauwezo wa kutumia chombo chochote cha kiusalama kwa manufaa yao haijalishi sheria inasemaje.Kaka, kunakitu inaitwa minimum force au nguvu sawia ya tishio. Sasa km nhuvu hiyo inaonekanaka kulingana na mizinga au ndege mi sijui, wanasheria wanaweza toa tafsiri mahakamani.
Inabidi mtegemee kuona mambo km hayo na kwa kifup hata macruita waliopo mafunzon nao wanaweza wakawa tayari wameandaliwa kwa kuzima moto wa chademaLeo ndiyo rasmi CHADEMA imetangaza kuanza migomo, maandamano nchi nzima lakini kwa hapa Arusha mjini polisi tangu saa kumi wamejazana sehemu zote ambazo kuna uwezekano CHADEMA wakakusanyika ama kuanzia maandamano yao au kuweka kambi na cha kushangaza nimemuona na rafiki yangu ambaye ni mwanajeshi nae kajaa magwanda ya polisi nikamuuliza vipi siku hizi wewe ni polisi kaniambia hali ni mbaya sana kwa jeshi la polisi wameomba tuwasaidie.Ameomba atanipigia simu kunielezea.