Arusha: Mwanaume auawa kikatili na kulawitiwa, mke atuhumiwa

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,081
MUHIMU: Mtuhumiwa hana hatia mpaka itakapodhibitika ana hatia, the accused is considered innocent until proven guilty



Mtindo huu wa mauaji umeanza kushika kasi Arusha, ni miezi michache iliyopita kulikuwa na tukio la mwanamke kukodi majambazi yamuue mme wake huko Arumeru.

hivi tena kuna kijana Henry Tumaini Lekule (34) kauliwa huko maeneo ya Njiro kikatili sana kwa katobolewa macho, kupigwa mapanga ya kichwani na inaelezwa alilawitiwa kabla ya kuuliwa, mwili wakautupa kwenye kichaka karibu na kwake.

Hadi sasa kumekuwa na asilimia zaidi ya 90 ya watu wengi mitandoni wakitoa maoni ya kuhisi mke ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kudai mwanamke huyo anachanganya changanya maelezo.

1707960112571.png



1707960135531.png



1707960193949.png



1707960221859.png



1707960327346.png




1707960398143.png





1707960433067.png
 
MUHIMU: Mtuhumiwa hana hatia mpaka itakapodhibitika ana hatia, the accused is considered innocent until proven guilty

View attachment 2904415

Mtindo huu wa mauaji umeanza kushika kasi Arusha, ni miezi michache iliyopita kulikuwa na tukio la mwanamke kukodi majambazi yamuue mme wake huko Arumeru.

hivi tena kuna kijana Henry Tumaini Lekule (34) kauliwa huko maeneo ya Njiro kikatili sana kwa katobolewa macho, kupigwa mapanga ya kichwani na inaelezwa alilawitiwa kabla ya kuuliwa, mwili wakautupa kwenye kichaka karibu na kwake.

Hadi sasa kumekuwa na asilimia zaidi ya 90 ya watu wengi mitandoni wakitoa maoni ya kuhisi mke ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kudai mwanamke huyo anachanganya changanya maelezo.

View attachment 2904421


View attachment 2904422


View attachment 2904423


View attachment 2904424


View attachment 2904425



View attachment 2904426




View attachment 2904427
Mama kajikamatidha.

Anatetemeka pale mwishoni
 
MUHIMU: Mtuhumiwa hana hatia mpaka itakapodhibitika ana hatia, the accused is considered innocent until proven guilty

View attachment 2904415

Mtindo huu wa mauaji umeanza kushika kasi Arusha, ni miezi michache iliyopita kulikuwa na tukio la mwanamke kukodi majambazi yamuue mme wake huko Arumeru.

hivi tena kuna kijana Henry Tumaini Lekule (34) kauliwa huko maeneo ya Njiro kikatili sana kwa katobolewa macho, kupigwa mapanga ya kichwani na inaelezwa alilawitiwa kabla ya kuuliwa, mwili wakautupa kwenye kichaka karibu na kwake.

Hadi sasa kumekuwa na asilimia zaidi ya 90 ya watu wengi mitandoni wakitoa maoni ya kuhisi mke ndie mtuhumiwa wa kwanza kwa kudai mwanamke huyo anachanganya changanya maelezo.

View attachment 2904421


View attachment 2904422


View attachment 2904423


View attachment 2904424


View attachment 2904425



View attachment 2904426




View attachment 2904427
Duh..
Ila Arusha ni kama Afghanistan ya Tanzania
 
Back
Top Bottom