Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,737
Kuna sehemu zingine kama ololoo, pale samunge napo kuanzia saa 2 usipite kiurahisi...Ni kwikwi mitaa ile
Kuna sehemu zingine kama ololoo, pale samunge napo kuanzia saa 2 usipite kiurahisi...Ni kwikwi mitaa ile
Hapo washastuana watakaodakwa labda waliofanya tukio na raia watakaodakwa kwenye msako.I can see what will be upon those vibaka, Kwa maana wanajeshi watakavyorud watarudsha zaid ya simu aisee
liwe eneo la mradi si kwa makazi ya watu tenaUfutwe je mkuu??
Ndio hivyo Ndugu watu Dana negative perceptions kua akiuawa police, Magereza, fire, uhamiaji ni kwa sababu ya kukosa mafunzo bila kuelew kua hata kama una mafunzo gani MTU Mwenye silaha akishajificha akakuweka kwenye target, anakuuwahahahaha wew jamaaa ww mungu akuongezee maisha marefu
Uzur intelejensia ya jeshi ni kubwa sana hawawez kwenda leo nakumbuka kuna moja konda na dereve walimpiga mjeda aisee walikuja watu hao stend yote haikutamanikaHapo washastuana watakaodakwa labda waliofanya tukio na raia watakaodakwa kwenye msako.
Ila leo kitaani hawatakwepo..
hahaa... huku mtaani kwetu mbona salama aisee...siyo Arusha yote...!!!arusha nlishuhudia mtu akitobolewa kwa visu usoni akawa kama chujio..nlivyoona hivyo mi nligeuka husein bolt gafla..sio salama kabisa arusha yote..
walibeba haswaaa,sitting room walisafisha haswaaa kasoro sofa seat tu wasingebeba,dingi aliwambia wachukue wanachotaka wasiguse tu watu,yani alikua anapiga nao story tu hapo panga linameremeta kanyooshewa,si alitusimulia walivyoondoka,kwanza nilikuwa uvunguni mwa kitanda,wezi skia tu.kila mtu alitafuta ustaarabu Wake.Hawakupiga kitu!??