Arusha: Mpaka wa Kenya na Tanzania, Namanga wafungwa

Mie navyo jua ukiwa pale mpakani...unaweza vuka au kutumia pessa yeyote.
ukiwa Kenya au tz.....mfano wewe mtz ukiwa upande wa Kenya unatumia tsh
 
Acheni kuandika habari kama hizi mnatutia hasira sie. Hamna uhuru to that extent... Watch it!!!
 
Waandishi wa habari watafanyia kazi kuweka katika Media zao. Jamii Forum imesaidia sana. Ingawa serikali inapinga lakini inasaidia sana kuwajulisha waandishi wa habari na maaskari kufika sehemu husika.
Sasa wanaoipinga Jamii Forum siwaelewagi lakini
 
Wakenya nao huwa wanawadharau sana Watanzania, kama walikuwa wanaishi nchini kinyume na taratibu...sheria ichukue mkondo wake.
 
Mkuu kwa hali ilivo hapa mpakani Ni kuwa officers Wa uhamiaji Kenya wanalalamika kuwa officer Mkuu Wa uhamiaji upande wa Tanzania mpakani ndo, amekuwa tatizo hapo mpakani na ndo chanzo kwani amekuwa akiwakandamiza wakenya,
Upande WA Tanzania hata Picha huruhusiwi kupiga na ukipiga unakamatwa
Ukiona wakenya wanamlilia ujue huyo jamaa ni jembe atakuwa amekataa (TKK)Toa Kitu Kidogo....
 
Mpaka bado kufunguliwa, Mkuu WA wilaya yupo katika mazungumzo ya pande zote mbili katika ofisi za uhamiaji hapo mpakani.
 
Hatuwezi kuendekeza ujinga.
Wao wajazane kwetu wakati sisi hatujaenda kwao.

Warare mbere hao
 
Ukiingia Kenya kwa Mipaka yote iwe Lungalunga,Taveta,Loitoktok, Namanga au Isebania unaenda kilometre zaidi ya Kumi ndio utakuta Barrier uulizwe Passport ama kitambulisho. Sasa Tanzania unataka hata mtu akiwa Nomans land awe na kibali
Yap, Mkuu kwa wenzetu Kenya wako vzur sana barrier zisizo na msingi hawaziendekezi na hiyo imewabust sana kiuchumi, hatukatai swala LA security ya nchi lakni maswala ya border yanatakiwa yaendeshwe kidiplomasia zaidi maana kwenye border ndipo tunapopata hata jamii zinazoishi nchi zote mbili(tukumbuke kua nyingi ya hizi border ziliwekwa na mkoloni bila kuzingatia matakwa ya jamii husika)
 
askari Wa Kenya wanarusha mabomu ya machozi kutawanya wananchi, na taarifa Ni kwamba huduma ya umeme na maji mpakani hapo imesitishwa, wamekata maji na umeme
 
Back
Top Bottom