nobody knows but me
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 525
- 362
Lol....sasa kwani hiyo ndoto ya lema aliota ndani ya court?! Kama mambo yanayotokea nje ya court hayamuhusu hakimu, I'm sure hata hii ya lema haitomuhusuYaani hakimu anafahamu kuwa wale wanaozuiwa nje ya mahakama wamekwenda kusikiliza kesi ya Lema na hivyo kutoa amri? Labda uwasilishaji ndio mgumu, Napata shida kufahamu hakimu anapata wapi mamlaka ya mambo yanayotokea nje ya korti yake. Kama kuna jambo linalotokea ndani ya korti yake hapo sawa. Nje ya korti? Sijui labda! Mwenye kufahamukwa hakika hakimu aliamuru nini tafadhali anijuze.