Arusha: Lema arudishwa mahabusu, kesi yaahirishwa tena

Lema na siasa za mahakama...!!!! inaonyesha kamati ya siasa ndani ya chama ineshinda kubuni mbinu stahiki za kupambana na serikali iliyo madarakani
Chadema wenyewe wanamuita Mbuzi wa Kafara, ngoja tune kama Mbuzi atachinjwa au La!
 
Polisi wetu watende haki kwa watu wote. Wasijipendekeze kwa watawala, mtadharaulika. RC Makonda kamdhalilisha KAMISHNA wa polisi, kamanda Sirro kwa kumtuhumu hadharani kwa rushwa. Polisi tekelezeni kazi zenu kwa weledi,wanasiasa hawaaminiki
Waambie aise tatizo lao shule mzee
 
Polisi wetu watende haki kwa watu wote. Wasijipendekeze kwa watawala, mtadharaulika. RC Makonda kamdhalilisha KAMISHNA wa polisi, kamanda Sirro kwa kumtuhumu hadharani kwa rushwa. Polisi tekelezeni kazi zenu kwa weledi,wanasiasa hawaaminiki
Acha uchonganishi wewe. Mkuu wa mkoa na RPC wote wanafatekeleza majukumu yao vizuri
 
Yaani hakimu anafahamu kuwa wale wanaozuiwa nje ya mahakama wamekwenda kusikiliza kesi ya Lema na hivyo kutoa amri? Labda uwasilishaji ndio mgumu, Napata shida kufahamu hakimu anapata wapi mamlaka ya mambo yanayotokea nje ya korti yake. Kama kuna jambo linalotokea ndani ya korti yake hapo sawa. Nje ya korti? Sijui labda! Mwenye kufahamukwa hakika hakimu aliamuru nini tafadhali anijuze.

Hakimu anazungumzia haki ya kisheria ya raia huru kwenye nchi huru wakati wewe unawaza juu ya ukandamizaji hivyo lazima uwaze kupindisha sheria, kuwa hakimu ajifanye hajui yanayotokea nje
 
Kesi ya jinai no 440, 441 inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema imearishwa hadi Tarehe 22-11-2016 siku ya jumanne
Hivyo basi Mh Mbunge kurudishwa tena Magereza.
 
Mpaka Hakimu akapitie vifungu vya sheria ambacho vimetolewa na Wakili Kibatala.
 
kes za mafsad, wauza pembe za ndov, dawa za kulevya, wahujum uchum nazo zngekuwa znatolewa kaul kutoka juu kuwa mcwape dhamana au fungen hao nch ingekuwa mbal. cjui hiz mahakm uwa wanapewa amri yakuwaachia huru mana weng uwa znapigwa danadan 2 mara wanaachwa akat wamerudisha nyuma maendeleo ya nch kwa kias kkubwa. kesi ya lema haina haijaathr uchum ila inamalza kod za wananch, kwan haina msing wowote ule ndo amri za kutoka juu tuu znaiendesha
 
Kesi ya jinai no 440, 441 inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema imearishwa hadi Tarehe 21-11-2016 siku ya jumanne
Hivyo basi Mh Mbunge kurudishwa tena Magereza.
Daaaaaah ipo siku lakini haya manyanyaso yatafikia tu mwisho,Dhamana ya mtu ni haki yake lakini kwa Lema imekuwa ni vikwazo visivyoeleweka,Na mahakama zetu sijui kama zipo kweli huru.
 
Back
Top Bottom