Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,767
- 20,002
100%Madini, mke, kaondoka, makazi ni FFU, alimtuhumu mke anatoka nje ya ndoa, ni mfanya biashara na mchimbaji, kanywa sumu kituoni?????
Hakuna mgumu wa kwenye madini anayekata tamaa kizembe hivyo na kunywa sumu aache huku nyuma watu asiowaamini....
Kuna zaidi ya hii hadithi...