residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,020
- 9,609
Ndugu ngome1838 , wewe ni "ke" au "me"!!??Handsome, anajipenda,ana fwedha na ni maarufu,.Hakuna mwanamke mwenye tamaa anaweza akachomoa.
Nitakuja na swali lingine baada ya hili.
Ndugu ngome1838 , wewe ni "ke" au "me"!!??Handsome, anajipenda,ana fwedha na ni maarufu,.Hakuna mwanamke mwenye tamaa anaweza akachomoa.
MeNdugu Showmax ,wewe ni "ke" au "me"!!??
Nitakuja na swali lingine baada ya hili.
Hii habari ni ya 2014 lakiniMwanamke Mmoja jijini Arusha amechora picha yenye jina la mtumishi wa Huduma ya Ngurumo ya Upako anayefahamika kwa jina la Nabii Mkuu Geor Davie.
Mwanamke huyo alipoulizwa kwa nini amechora tatoo yenye jina la nabii huyo, alijibu anampenda licha ya kuwa anapitia mwengi.
"...Ni jambo la baraka sana mtu mpaka anaamua kuandika jina la nabii mkuu". Baadae nabii huyo alimuomba mwanamke huyo aoneshe picha ya tatoo iliyopo begani mwake kanisani hapo.
Kanisa la ngurumo ya Upako huhudhuriwa na waumini zaidi ya 5000 kila jumapili.
Siku za Karibuni Nabii huyo
amekuwa gumzo mitandaoni kwa kutoa zawadi za Pesa na magari kwa baadhi wasanii wa Muziki..Gudluck Gozbert (Mercedes Benz), Mkali wenu (BMW X5).
Una maoni gani?
View attachment 2427554
Hawa ndio wanaoaibisha ukristoNabii katoka speed ya furaha.
Hawa ndio wanaoaibisha ukristo
Tafsiri mbaya ya maandiko, mtumishi anafurahia tattoo? Biblia anayosoma haikatazi au anasoma Biblia ya kwake peke yake? Mtumishi anachekelea kusikia ndoa imevunjika kwa ajili yake! Na kanisa nalo linapiga makofi kushangilia duh!Isaya 4:1
Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
KWA wanaojua maandiko awashangai
Na pesa juu akampaTafsiri mbaya ya maandiko, mtumishi anafurahia tattoo? Biblia anayosoma haikatazi au anasoma Biblia ya kwake peke yake? Mtumishi anachekelea kusikia ndoa imevunjika kwa ajili yake! Na kanisa nalo linapiga makofi kushangilia duh!
Mwanaume "handsome" wewe kama "me" unamjuaje!!??
Wanawake wanawajua, pia pesa haijifichi, huoni keshapewa milioni moja bado zingine tatu kahadiwa, katumia bei gani kuchora tatoo.Mwanaume "handsome" wewe kama "me" unamjuaje!!??
...???...Ikawaje? Malizia Utamu, Mkuu!...Na huwa anawatafuna ,unakumbuka kisa chake alipomtafuna katibu wa kanisa lake kwenye gari wakafumwa na mume wa katibu?
🤣🤣🤣🤣🤣Labda ana basha lake lenye mihela ya kufurika...
Nifute nipate laana ya babu?Hatimaye umefufuka kama ulivyosema ....
Hivi ulifuta namba zangu?