Arusha: Aachwa na Mumewe baada ya kuchora picha ya Nabii Mkuu

NABII MKUU BABA MKUU, MFALME MKUU, YESU NDIYE MKUU WA KILA KITU DUNIANI.

mathayo 28. Nimepewa Mamlaka Yoote MBINGUNI na Duniani.
 
Nimeangalia mwendelezo YouTube, alipewa m1 palepale, na ahadi ya kukabidhiwa m5 wiki inayofuata ili kuendeleza biashara zake, na pia atakuwa anapewa akihitaji
Zama uchawa.
Kwa mtindo huu watenda kazi watapungua na chawa wataongezeka.
Kuna siku niliona wasanii wamejazana kule kwa lengo la kuchuma😂
Demi wahi
 
halafu tukisema ukiristo nidini yamchongo mnalialia nakunyakunya hapa. ona sasa kiongozi wakanisa mambo anayofanya hapo. huyo demu kafukuzwa kwaajili yake yeye anafurahia nahela amempa. kwatafsiri yakawaida tunasema nabii asha pata michepuko tena kaukagua livi nakushangiria juu. amakweli wakiristo nimambumbu..
 
manabii wa mchongo, yaani ukachore lipicha la mwanamme mwenzako mwilini mwako ambaye sio mumeo? NOT to that extent kwa sauti ya JIwe. MImi ningekua mtawala ningewachapa viboko wooote hawa wasanii na pia ningewawekea vigezo vya elimu kama kagame. Kwanza inasemekana anakula huo mzigo na tangu siku nyingi mume alisusa
 
Nyie mnamshangaa nabii..kwenye ile video mimi kilichonichosha zaidi ni wale waumini. Waumini wanapiga makofi;
✓ Nabii kumsifia mke wa mtu hadharani kwamba mumeo anakuachaje mwanamke mzuri hivi. Tena akasema haya ni mahaba and people are applauding.
✓ Mwanamke..mke wa mtu kuchora tatoo ya jina la mwanaume mwingine.. na fact kwanza ya kuchora tatoo
✓ Nabii kutoa fedha na kumpa mwanamke huyo wakati wao ndo wanaotoa sadaka zile..na wengi wao wanaonekana apeche tu.
✓Mwanamke kumwambia mwanaume asie mume wake kuwa nakupenda sana baba..na ni mume wa mwanamke mwingine. How dare she??

Yule mama kaulizwa anachofanya eti anatembeza viatu..sijui nguo, na ana mgahawa wake..na akasema business zake hazijakua vizuri recently....na proudly kasema picha za nabii zimejaa kwake ndani ya nyumba yake...waumini wakapiga makofi.

Najiuliza wakristo tumerogwa?? Nini iki?? Sitaki kuhukumu sana lakini stickers, picha, culture zenye majina ya watumishi au zinazopresent watumishi kujaza majumbani mwetu for the name ya solid worship..hii si sawa. Haijakaa sawa.

Chukua stickers andika mistari ya biblia ikiri..itumie jaza kwenye kukuta wa nyumba yako..unajaza picha ya mtumishi?? This is a joke....haya bwana Mungu atusaidie..maana mwenyewe saiv huko juu anashangaa tunavyoruka majoka!!
mkuu hiinidini yawajinga Wala usipate tabu yakuchambua sana.kama nabii anamsifia mke wamtu nawaumini wanashangilia kunanini tena hapo Kama sio wajinga.
 
halafu tukisema ukiristo nidini yamchongo mnalialia nakunyakunya hapa. ona sasa kiongozi wakanisa mambo anayofanya hapo. huyo demu kafukuzwa kwaajili yake yeye anafurahia nahela amempa. kwatafsiri yakawaida tunasema nabii asha pata michepuko tena kaukagua livi nakushangiria juu. amakweli wakiristo nimambumbu..
Usihukumu Wakristo wote umbwa wewe! Sema haya makanisa ya kipumbavu! Sasa hivi hata wake zenu wa Kiislam wanamwagika kwa Mwamposa, siyo kwa kufukuliwa huko!
 
Usihukumu Wakristo wote umbwa wewe! Sema haya makanisa ya kipumbavu! Sasa hivi hata wake zenu wa Kiislam wanamwagika kwa Mwamposa, siyo kwa kufukuliwa huko!
nahukumu wote nyau wewe kwani hayo mambo siwanafanyia kanisani napicha wansturushia mitandaoni? ushawahi kuona msikitini wanafanya huo ukum?.nyie niwajingatu usijifanye kupinga pinga hapa.
 
nahukumu wote nyau wewe kwani hayo mambo siwanafanyia kanisani napicha wansturushia mitandaoni? ushawahi kuona msikitini wanafanya huo ukum?.nyie niwajingatu usijifanye kupinga pinga hapa.
Umeona hapo ni kanisani au ni kwemye ukumbi?
 
Mwanamke Mmoja jijini Arusha amechora picha yenye jina la mtumishi wa Huduma ya Ngurumo ya Upako anayefahamika kwa jina la Nabii Mkuu Geor Davie.

Mwanamke huyo alipoulizwa kwa nini amechora tatoo yenye jina la nabii huyo, alijibu anampenda licha ya kuwa anapitia mwengi.

"...Ni jambo la baraka sana mtu mpaka anaamua kuandika jina la nabii mkuu". Baadae nabii huyo alimuomba mwanamke huyo aoneshe picha ya tatoo iliyopo begani mwake kanisani hapo.

Kanisa la ngurumo ya Upako huhudhuriwa na waumini zaidi ya 5000 kila jumapili.

Siku za Karibuni Nabii huyo
amekuwa gumzo mitandaoni kwa kutoa zawadi za Pesa na magari kwa baadhi wasanii wa Muziki..Gudluck Gozbert (Mercedes Benz), Mkali wenu (BMW X5).

Una maoni gani?

View attachment 2427554
Hapo hakuna Mtumishi wa Mungu. Kule kujiita NABII MKUU tu tayari huyu anajitukuza mwenyewe na hatangazi utukufu wa Mungu. Hata kwenye vitabu vitakatifu hatujawahi kusikia cheo hicho. Wapo manabii tu lakini sio MANABII WAKUU.
 
Back
Top Bottom