CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 7,621
- 16,700
NABII MKUU BABA MKUU, MFALME MKUU, YESU NDIYE MKUU WA KILA KITU DUNIANI.
mathayo 28. Nimepewa Mamlaka Yoote MBINGUNI na Duniani.
mathayo 28. Nimepewa Mamlaka Yoote MBINGUNI na Duniani.
Nimeangalia mwendelezo YouTube, alipewa m1 palepale, na ahadi ya kukabidhiwa m5 wiki inayofuata ili kuendeleza biashara zake, na pia atakuwa anapewa kila akihitaji..Ataitwa kwenda kupewa gari
Zama uchawa.Nimeangalia mwendelezo YouTube, alipewa m1 palepale, na ahadi ya kukabidhiwa m5 wiki inayofuata ili kuendeleza biashara zake, na pia atakuwa anapewa akihitaji
Mara nyingi matatizo ndiyo huwapeleka huko, wanaoenda kwa starehe niwachache sana, ile yote nikuhangaika kuona Mungu atawasaidia, usiwahukumu sana.Sitoruhusu mke wangu aende kwenye haya makanisa hata kidogo
mkuu hiinidini yawajinga Wala usipate tabu yakuchambua sana.kama nabii anamsifia mke wamtu nawaumini wanashangilia kunanini tena hapo Kama sio wajinga.Nyie mnamshangaa nabii..kwenye ile video mimi kilichonichosha zaidi ni wale waumini. Waumini wanapiga makofi;
✓ Nabii kumsifia mke wa mtu hadharani kwamba mumeo anakuachaje mwanamke mzuri hivi. Tena akasema haya ni mahaba and people are applauding.
✓ Mwanamke..mke wa mtu kuchora tatoo ya jina la mwanaume mwingine.. na fact kwanza ya kuchora tatoo
✓ Nabii kutoa fedha na kumpa mwanamke huyo wakati wao ndo wanaotoa sadaka zile..na wengi wao wanaonekana apeche tu.
✓Mwanamke kumwambia mwanaume asie mume wake kuwa nakupenda sana baba..na ni mume wa mwanamke mwingine. How dare she??
Yule mama kaulizwa anachofanya eti anatembeza viatu..sijui nguo, na ana mgahawa wake..na akasema business zake hazijakua vizuri recently....na proudly kasema picha za nabii zimejaa kwake ndani ya nyumba yake...waumini wakapiga makofi.
Najiuliza wakristo tumerogwa?? Nini iki?? Sitaki kuhukumu sana lakini stickers, picha, culture zenye majina ya watumishi au zinazopresent watumishi kujaza majumbani mwetu for the name ya solid worship..hii si sawa. Haijakaa sawa.
Chukua stickers andika mistari ya biblia ikiri..itumie jaza kwenye kukuta wa nyumba yako..unajaza picha ya mtumishi?? This is a joke....haya bwana Mungu atusaidie..maana mwenyewe saiv huko juu anashangaa tunavyoruka majoka!!
Shikamoo babuBila kumvulia bikini, hata bajaji hapati...
Usihukumu Wakristo wote umbwa wewe! Sema haya makanisa ya kipumbavu! Sasa hivi hata wake zenu wa Kiislam wanamwagika kwa Mwamposa, siyo kwa kufukuliwa huko!halafu tukisema ukiristo nidini yamchongo mnalialia nakunyakunya hapa. ona sasa kiongozi wakanisa mambo anayofanya hapo. huyo demu kafukuzwa kwaajili yake yeye anafurahia nahela amempa. kwatafsiri yakawaida tunasema nabii asha pata michepuko tena kaukagua livi nakushangiria juu. amakweli wakiristo nimambumbu..
nahukumu wote nyau wewe kwani hayo mambo siwanafanyia kanisani napicha wansturushia mitandaoni? ushawahi kuona msikitini wanafanya huo ukum?.nyie niwajingatu usijifanye kupinga pinga hapa.Usihukumu Wakristo wote umbwa wewe! Sema haya makanisa ya kipumbavu! Sasa hivi hata wake zenu wa Kiislam wanamwagika kwa Mwamposa, siyo kwa kufukuliwa huko!
Umeona hapo ni kanisani au ni kwemye ukumbi?nahukumu wote nyau wewe kwani hayo mambo siwanafanyia kanisani napicha wansturushia mitandaoni? ushawahi kuona msikitini wanafanya huo ukum?.nyie niwajingatu usijifanye kupinga pinga hapa.
Huwa Ana swaga fulani hivi za kishuaHuyu geo wanawake wanampenda Sana.
huo niukumbi. huyo anaye hubiri hapo kashika bibilia au msahafu?Umeona hapo ni kanisani au ni kwemye ukumbi?
Unazijua sifa za kanisa wewe ndezi?huo niukumbi. huyo anaye hubiri hapo kashika bibilia au msahafu?
we kum.. huyo anaehubiri ni mamak au? yupo kwenye kikobaUnazijua sifa za kanisa wewe ndezi?
Halafu ajabu anayejiita nabii mkuu anafurahia na kuona ni sawa! Mume mwenye kujitambua hataacha mke wake aende kanisa la namna hiyoKimaadili ya Ukristo tattoo ni ibada za shetani. Kuchora au kuweka picha ya kiongozi au bendera au stika ni ushetan mtupu.
Hapo hakuna Mtumishi wa Mungu. Kule kujiita NABII MKUU tu tayari huyu anajitukuza mwenyewe na hatangazi utukufu wa Mungu. Hata kwenye vitabu vitakatifu hatujawahi kusikia cheo hicho. Wapo manabii tu lakini sio MANABII WAKUU.Mwanamke Mmoja jijini Arusha amechora picha yenye jina la mtumishi wa Huduma ya Ngurumo ya Upako anayefahamika kwa jina la Nabii Mkuu Geor Davie.
Mwanamke huyo alipoulizwa kwa nini amechora tatoo yenye jina la nabii huyo, alijibu anampenda licha ya kuwa anapitia mwengi.
"...Ni jambo la baraka sana mtu mpaka anaamua kuandika jina la nabii mkuu". Baadae nabii huyo alimuomba mwanamke huyo aoneshe picha ya tatoo iliyopo begani mwake kanisani hapo.
Kanisa la ngurumo ya Upako huhudhuriwa na waumini zaidi ya 5000 kila jumapili.
Siku za Karibuni Nabii huyo
amekuwa gumzo mitandaoni kwa kutoa zawadi za Pesa na magari kwa baadhi wasanii wa Muziki..Gudluck Gozbert (Mercedes Benz), Mkali wenu (BMW X5).
Una maoni gani?
View attachment 2427554