uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,999
- 8,386
Nimeiangalia arsenal ikiwa chini ya arteta kwa misimu kadhaa
Mpaka msimu wa mwaka jana alikuwa anacheza mpira wa kivulana sana/mpira usio na malengo
Ila msimu huu ameongoza kitu
Na amebadilika sana
Kusema kweli mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
The guy is working hard to be best football coach and I start like him
Ningependa arteta ashinde taji msimu huu ila kikwazo chake kitakuwa manchester city
Baada ya Alonso kujipata km kocha elite anayekuja angalau na arteta has something
Mpaka msimu wa mwaka jana alikuwa anacheza mpira wa kivulana sana/mpira usio na malengo
Ila msimu huu ameongoza kitu
Na amebadilika sana
Kusema kweli mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
The guy is working hard to be best football coach and I start like him
Ningependa arteta ashinde taji msimu huu ila kikwazo chake kitakuwa manchester city
Baada ya Alonso kujipata km kocha elite anayekuja angalau na arteta has something