Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,982
- 12,703
Moyes leo anafufuka hapo darajani.Hongereni sn jirani zangu kwa Ushindi!
Karibuni kasho Darajani muone navyomnyoga Moyes!
Moyes leo anafufuka hapo darajani.Hongereni sn jirani zangu kwa Ushindi!
Karibuni kasho Darajani muone navyomnyoga Moyes!
Anajipa matumaini huyo, alisema mwezi wa 12 mwaka jana tutakuwa nafasi ya 5. Lakini aibu kwake bado tupo kileleni.Lazima ni kifo pekee hayo mengine ni hiari so acha mbwembwe wewe na angalia leo usije wehuka.
Moyes leo anafufuka hapo darajani.
Lazima ni kifo pekee hayo mengine ni hiari so acha mbwembwe wewe na angalia leo usije wehuka.
Nikija humu, naonekana mpiga kelele...nisipokuja naonekana nakimbia, nimekua kimya....
Anajipa matumaini huyo, alisema mwezi wa 12 mwaka jana tutakuwa nafasi ya 5. Lakini aibu kwake bado tupo kileleni.
we muache huyu Mnyantuzyu na leo lazima Gunners tuongeze gape la 4 kama siyo la point 5 kabisa.
Wewe Acha Hizo ntakurudisha darini Km Balantanda
nyie ndio wazee wa kujifinya darin na kuchungilia ka panya wanaposikilizia Paka yupo sehemu gani maana mkifungwa tu mnapotea wiki nzima.
Wewe Pierre Yani Wewe usikae mbali Leo!
Njoo uone dozi anayopewa Man Utd!
Alafu tunakusubiri na Wewe ukija Darajani Lazima tukunyonge!
Wewe Pierre Yani Wewe usikae mbali Leo!
Njoo uone dozi anayopewa Man Utd!
Alafu tunakusubiri na Wewe ukija Darajani Lazima tukunyonge!
wazee wa daraja la manzese leo watakutana na mlevi basi watajifanya kumuonea.
Bado zamu yako! Ukitia mguu tu Darajani nakunyonga!
labda daraja la kigamboni lakini sio la kwenu la manzese