Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Hivi ari ya kutenda kazi katika kura za maoni za CCM inaonesha mpasuko katika CCM? Au wanatumiwa na kundi fulani la CCM? Je, kwenye kuwapata marais - Zenji na Tanzania hakukuwa na rushwa? Hivi tabia hii ya wadogo si ya wakubwa pia? JK hakutaka kumwadhibu Dk. Hosea wakati wa Richmond saga ili aje kumsaidia hivi sasa? Je, baada ya uchaguzi wataendelea na ari hii? Je, sasa wanauwezo wa kukukamata vigogo? Je, wanaweza kutusaidia sasa kuhusu Kagoda? Au haya ni matunda ya Hosea kupata PhD? Hivi rushwa haiwezi kupitishiwa benki kwenye akaunti ya mpokea rushwa? Hivi kuhaidiwa uongozi sio rushwa? Hao vigogo Hosea aliosema watafikishwa mahakamani hivi karibuni mbona bado?