Ehud
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 2,685
- 337
Hivi mtu akiwa uchi, ukamwambia kuwa yupo uchi, ni kuto kumuheshimu?
Inategemea na mtu huyo anaamini vp dhana ya kuwa uchi. Hata hivyo ni kutokumheshimu na kumvunjia uhuru wake kama mwanadamu kumkatalia mtu kuvaa apendavyo. Kama yeye kafurahishwa kuwa uchi wewe kinakuuma nini? Mna matatizo sana nyie. Mnapenda kutendewa wema lakini nyie hamuoni kuwatendea wema wengine ni haki yao pia. Acheni double standard. Leo unafurahi watu kuruhusiwa kuvaa hijab Argentina lakini hutaki watu waingie maka na madina na kuvaa watakavyo! lol