Ardhi ya Israel ya mwaka 1948 haikuwa ya Wapalestina

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,999
46,826
Kabla ya mwaka 1948 sio ardhi yote ya eneo hilo ilikuwa ya Waarabu Wapalestina. Sehemu ya ardhi ilikuwa inamilikiwa na Wayahudi wachache, Sehemu kubwa ilikuwa ni ardhi ya umma iliyokuwa inamilikiwa na Uingereza.

Kabla ya Utawala wa Uingereza, Palestine ilikuwa sehemu ya Ottoman Empire kwa miaka 400 tangu mwaka 1516. Kipindi hichi chote Wayahadi walikuwepo japo wachache sana kulinganisha na Wapalestina waliokuwa wengi na wakiongezeka kadri muda ulivyoendelea, hata hivyo hakukuwa na taifa rasmi linalojitegemea eneo hili. Baada ya kuanguka kwa Himaya ya Ottoman katika vita vya kwanza vya dunia ndipo eneo hilo likachukuliwa na kuwekwa kwa uangalizi chini ya utawala wa Uingereza mwaka 1920.

Mwaka 1948 Mataifa makubwa yenye nguvu ya magharibi walipoona umuhimu wa kuwa na taifa rasmi la Wayahudi ndipo wakaja na mpango wa kuwarudisha katika eneo lao la zamani la Kihistoria. Wayahudi walijipatia Sehemu kubwa ya ardhi yao ya mwanzo kutoka kwa Serikali ya Uingereza, hawakuwanyang'anya au kuwapora Wapalestina.
 
Ottoman Empire ilisambaratika kwenye vita vya kwanza vya dunia na sio kwenye vita vya pili vya dunia na wakati huo kando ya wapalestina na baadhi ya waisrael pia kuna jamii zingine za kiarabu zilizokuwa zikiishi ktk eneo hilo na wala sio wapalestina peke yao kama wanavyojaribu kupotosha leo.
 
Ottoman Empire ilisambaratika kwenye vita vya kwanza vya dunia na sio kwenye vita vya pili vya dunia na wakati huo kando ya wapalestina na baadhi ya waisrael pia kuna jamii zingine za kiarabu zilizokuwa zikiishi ktk eneo hilo na wala sio wapalestina peke yao kama wanavyojaribu kupotosha leo.
Sahihi,
 
Na hakuna mwarabu alijiita mpalestina kabla ya Israel kutaka taifa wake.
Baada ya dai la Utaifa wa Israeli ndiyo ukaibua watu wanaoijiita wapalestina.
Ni kweli kabla ya 1948 hakukuwa na kitu kinaitwa Palestina ni mkakati waliotumia baada ya huo mwaka ili kupata uungwaji mkono kutoka kwa jumuiya ya kimataifa. Ulikuwa ni utapeli wa kisiasa tu.
 
Wangekuwa Wafilisti aka Magovi ndio wanadai Nchi tungeelewa kidogo na sio Arabs wanajiita Palestina...
 
Kabla ya mwaka 1948 sio ardhi yote ya eneo hilo ilikuwa ya Waarabu Wapalestina. Sehemu ya ardhi ilikuwa inamilikiwa na Wayahudi wachache, Sehemu kubwa ilikuwa ni ardhi ya umma iliyokuwa inamilikiwa na Uingereza.

Kabla ya Utawala wa Uingereza, Palestine ilikuwa sehemu ya Ottoman Empire kwa miaka 400 tangu mwaka 1516. Kipindi hichi chote Wayahadi walikuwepo japo wachache sana kulinganisha na Wapalestina waliokuwa wengi na wakiongezeka kadri muda ulivyoendelea, hata hivyo hakukuwa na taifa rasmi linalojitegemea eneo hili. Baada ya kuanguka kwa Himaya ya Ottoman katika vita vya kwanza vya dunia ndipo eneo hilo likachukuliwa na kuwekwa kwa uangalizi chini ya utawala wa Uingereza mwaka 1920.

Mwaka 1948 Mataifa makubwa yenye nguvu ya magharibi walipoona umuhimu wa kuwa na taifa rasmi la Wayahudi ndipo wakaja na mpango wa kuwarudisha katika eneo lao la zamani la Kihistoria. Wayahudi walijipatia Sehemu kubwa ya ardhi yao ya mwanzo kutoka kwa Serikali ya Uingereza, hawakuwanyang'anya au kuwapora Wapalestina.
Sasa mbona wamegoma kurudi kwenye mipaka yao halali ya kabla ya Vita ya mwaka 1967 ?.........

Mbona tena wanaendeleza ujenzi wa makazi ya walowezi huko Jerusalem mashariki, ukingo wa magharibi ambao ni maeneo ya Wapalestina licha ya maazimio mengi ya UN kupinga hilo?
 
Wengi humu wanafikiria wanaifahamu Israel zaidi ya Ben Netanyahu
 
Hii historia ya wapi ndugu yangu?

Ardhi ya umma iliyokua inamilikiwa na Uingereza ndiyo lugha gani? Ndo namna ya kisasa ya kueleza ukoloni?

Wapalestina wapo pale maelfu ya miaka, vizazi na vizazi? Kati yao na Ashkenazi Jews, wakimbizi wa kizungu kutoka Ulaya mashariki nani anahatimiliki ya ardhi?

Palestine ilikua chini ya Ottoman Empire kama Russia ilivyokua chini ya Mongol Empire, haina maana Russia ilikua haipo

Baada ya kuanguka kwa Ottoman Empire, muingereza akajimilikisha Palestina kama alivyofanya Africa, North America, India na popote alipofanikiwa kutia mguu

Muingereza hana hatimiliki ya hata mchango Palestine, kama ambavyo hakua na miliki ya kitu chochote kwetu

Israel ni project ya muingereza na Marekani kutanua nguvu zao middle east, sio hata, ni ngome yao ya kijeshi

Ardhi ya Wapelestina, Nchi ya Wapelestina

Hao Zionists hawana hata uwezo ya ku prove kama wao ni wayahudi kweli, achilia mbali kumiliki ardhi
 
Kabla ya mwaka 1948 sio ardhi yote ya eneo hilo ilikuwa ya Waarabu Wapalestina. Sehemu ya ardhi ilikuwa inamilikiwa na Wayahudi wachache, Sehemu kubwa ilikuwa ni ardhi ya umma iliyokuwa inamilikiwa na Uingereza.

Kabla ya Utawala wa Uingereza, Palestine ilikuwa sehemu ya Ottoman Empire kwa miaka 400 tangu mwaka 1516. Kipindi hichi chote Wayahadi walikuwepo japo wachache sana kulinganisha na Wapalestina waliokuwa wengi na wakiongezeka kadri muda ulivyoendelea, hata hivyo hakukuwa na taifa rasmi linalojitegemea eneo hili. Baada ya kuanguka kwa Himaya ya Ottoman katika vita vya kwanza vya dunia ndipo eneo hilo likachukuliwa na kuwekwa kwa uangalizi chini ya utawala wa Uingereza mwaka 1920.

Mwaka 1948 Mataifa makubwa yenye nguvu ya magharibi walipoona umuhimu wa kuwa na taifa rasmi la Wayahudi ndipo wakaja na mpango wa kuwarudisha katika eneo lao la zamani la Kihistoria. Wayahudi walijipatia Sehemu kubwa ya ardhi yao ya mwanzo kutoka kwa Serikali ya Uingereza, hawakuwanyang'anya au kuwapora Wapalestina.
wapelestina walikuwepo, ila ilikuwa chini ya waingereza, wapalestina walikuwa wanavizia waingereza watakapotaka kuondoka wao watangaze uhuru, wayahudi wakwawahi wakatangaza uhuru na nchi kuzaliwa na wakabeba na silaha kujilinda. kuna mpambanaji wao mmoja aliitwa Amani al husseini alianza miaka ya 1920 huko akitaka ile nchi waingereza wakawa wanazingua, na alienda hitler na musolin, akawahonga na kuwatafutia wanamgambo wa bosnia ili hitler asiwaruhusu wayahudi kuanzisha nchi yao, na alimshauri hitler awatekezeze wote.
 
Ottoman Empire ilisambaratika kwenye vita vya kwanza vya dunia na sio kwenye vita vya pili vya dunia na wakati huo kando ya wapalestina na baadhi ya waisrael pia kuna jamii zingine za kiarabu zilizokuwa zikiishi ktk eneo hilo na wala sio wapalestina peke yao kama wanavyojaribu kupotosha leo.

Neno wapalestina limekuja baada ya kuanziswa Israel!! Hao walikua waarabu waliozamia ilo eneo kutoka maeneo jiran kufata nafas za british za kiuchumi
 
Back
Top Bottom