John Mnyika
JF-Expert Member
- Jun 16, 2006
- 712
- 1,240
Mwezi Machi, nilipata wasaa wa kushiriki mkutano wa wananchi katika mtaa wa Kwembe, mkutano mambo kadhaa niliyatakari siku hiyo yaliyonifanya niandike makala ifuatayo ambayo naamini maudhui yake yanapaswa kujadiliwa:
"Wahenga walisema, mgeni njoo mwenyeji apone. Msemo huu, ni ishara ya baraka njema inayoletwa na wageni chini ya ukarimu wa kiafrika. Hata hivyo, yapo maeneo ambayo ujio wa wageni ama wa mambo mageni umezua hasara kwa upande wa wenyeji. Tunayaona hayo katika maeneo ya uwekezaji ambayo wenyeji wameondolewa kwa shuruti kupisha wageni bila kupata manufaa ya kutosha kutokana na ujio wa wageni hao. Hayo yamejitokeza katika sekta za uchimbaji madini, uwindaji na maeneo mengine yanayohusiana na rasilimali za taifa. Hapo ndio unapoweza kuzuka msemo mpya wa mgeni njoo mwenyeji akonde. Si dhamira ya makala yangu ya leo kuzungumzia hayo ya wageni katika maeneo ya rasilimali wengi wao wakiwa kutoka nje, leo nataka nizungumze kuhusu wageni wa ndani katika sekta ya ardhi. Inaendelea
Makala kamili inapatikana hapa: JJ: March 2009
JJ
"Wahenga walisema, mgeni njoo mwenyeji apone. Msemo huu, ni ishara ya baraka njema inayoletwa na wageni chini ya ukarimu wa kiafrika. Hata hivyo, yapo maeneo ambayo ujio wa wageni ama wa mambo mageni umezua hasara kwa upande wa wenyeji. Tunayaona hayo katika maeneo ya uwekezaji ambayo wenyeji wameondolewa kwa shuruti kupisha wageni bila kupata manufaa ya kutosha kutokana na ujio wa wageni hao. Hayo yamejitokeza katika sekta za uchimbaji madini, uwindaji na maeneo mengine yanayohusiana na rasilimali za taifa. Hapo ndio unapoweza kuzuka msemo mpya wa mgeni njoo mwenyeji akonde. Si dhamira ya makala yangu ya leo kuzungumzia hayo ya wageni katika maeneo ya rasilimali wengi wao wakiwa kutoka nje, leo nataka nizungumze kuhusu wageni wa ndani katika sekta ya ardhi. Inaendelea
Makala kamili inapatikana hapa: JJ: March 2009
JJ