Scientist
JF-Expert Member
- Feb 7, 2009
- 391
- 14
Kuna watu wamesma kuwa kwa nini naibu waziri atoetaaRifa na wakati wataalamu wa jeshi wapo.ningependa kuwaambia hio taarifa kwa uelewa wangu huwa hazitoki kichwani kwa waziri bali anatumiwa na jeshi kuitoa na yeye anakuwa na dhamana tu ya kuwasilishana kwa wananchi
Kama taarifa ya waziri imetoka jeshini kwanini watofautiane? Waziri anasema mambo shwari,mnadhimu mkuu wa jeshi anasema kuna uwezekano wa kutokea milipuko zaidi tena ya kwenda mbali zaidi...