Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,239
- 4,061
Simba SC kesho mnatoka, unless na nyie mfanye hujuma.
Mbaya sana Mpira wa Africa.
APR imehujumiwa magoli ya wazi kupitia offside za mchongo.
Kwa tabia hii hatukuzi soka la Tanzania Bali tunadumaza soka. Najiuliza kwa nini soka la ZNZ halikui pamoja kuwa ZNZ inavipaji sana kama vile the finest Zanzibar , Fei Salim Feisal toto aka Macho Ozil.
Nadhan ZNZ walikusudia lazima timu moja from zanjiberi ifike fainali which is bad kwa kulazimisha.
Kocha wa APR pia amekiri kwenye TV vyombo vya habari kuwa Mlandege imeshinda madhuluma.
Sisi, Dar Young Africans. tuliona mapema haya ndio maana TUMEWAACHIA. Lakini hakuna timu inatuweza hapo hata moja na wote mnajua hilo
Pamoja na yote, ninaiombea SINGIDA BIG STARS kesho wawe na siku nzuri ili hawa wawashamoto kesho ndio iwe mwisho wao
Imani Yangu ipo kwa Yanga na Singida Big Stars kesho.
Singida kuweni makini makolo wanahonga sana waamuzi, pia kuweni makini na sehemu za kubadili nguo
Mbaya sana Mpira wa Africa.
APR imehujumiwa magoli ya wazi kupitia offside za mchongo.
Kwa tabia hii hatukuzi soka la Tanzania Bali tunadumaza soka. Najiuliza kwa nini soka la ZNZ halikui pamoja kuwa ZNZ inavipaji sana kama vile the finest Zanzibar , Fei Salim Feisal toto aka Macho Ozil.
Nadhan ZNZ walikusudia lazima timu moja from zanjiberi ifike fainali which is bad kwa kulazimisha.
Kocha wa APR pia amekiri kwenye TV vyombo vya habari kuwa Mlandege imeshinda madhuluma.
Sisi, Dar Young Africans. tuliona mapema haya ndio maana TUMEWAACHIA. Lakini hakuna timu inatuweza hapo hata moja na wote mnajua hilo
Pamoja na yote, ninaiombea SINGIDA BIG STARS kesho wawe na siku nzuri ili hawa wawashamoto kesho ndio iwe mwisho wao
Imani Yangu ipo kwa Yanga na Singida Big Stars kesho.
Singida kuweni makini makolo wanahonga sana waamuzi, pia kuweni makini na sehemu za kubadili nguo