Kijana mmoja ajulikanaye kwa jina la Mustafa huko wilayan Kondoa amelazwa katika hospitali ya wilaya baada ya kukutana na VIBAKA ambao walipomsimamisha walimpora vitu na kunywesha kinachosadikiwa kuwa ni maji ya betri au tindikali.
Daktari mmoja amethibitisha hilo na kusema kuwa kwa sasa Mustafa ana vidonda mdomoni na tumboni pia anakoroma tu hata kusema hawez (hali ambayo inazidi kubadilika) kadri muda unavyokwenda.
source: KURUNZI LA REDIO IMAAN
Daktari mmoja amethibitisha hilo na kusema kuwa kwa sasa Mustafa ana vidonda mdomoni na tumboni pia anakoroma tu hata kusema hawez (hali ambayo inazidi kubadilika) kadri muda unavyokwenda.
source: KURUNZI LA REDIO IMAAN