Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
Mimi ni kijana wa miaka 23 nimevutiwa na kufanya mazoezi ya viungo almaarufu KUPIGA CHUMA na sana sana nimejikita katika kutanua kifua(chest exercises), na arm exercises kutengeneza bisect na tri-sect.
Katika kufanya mazoezi yangu haya hakika nmeanza kuona mabadiliko kwa mwili wangu kujengeka.
Tatizo linalonikumba ktk mazoezi:
- nimeanza kusikia maumivu makali ya kichwa pindi nifanyapo zoezi la uzito nilalapo kwenye benchi(yaani zoezi la kifua)..,
*naomba mnisadie tatizo hasa linalopelekea maumivu hayo ya kichwa ni nini hasa.
*na ni njia gani/nifanyeje ili kuepuka maumivu hayo.
:::::::nategemea msaada wenu:::::::
Katika kufanya mazoezi yangu haya hakika nmeanza kuona mabadiliko kwa mwili wangu kujengeka.
Tatizo linalonikumba ktk mazoezi:
- nimeanza kusikia maumivu makali ya kichwa pindi nifanyapo zoezi la uzito nilalapo kwenye benchi(yaani zoezi la kifua)..,
*naomba mnisadie tatizo hasa linalopelekea maumivu hayo ya kichwa ni nini hasa.
*na ni njia gani/nifanyeje ili kuepuka maumivu hayo.
:::::::nategemea msaada wenu:::::::