M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
- Thread starter
- #21
Nakuunga mkono, MWANAHALISI na Tanzania Daima ni miongoni mwa mwagazeti ambayo wamiliki/wahariri wake wamenunuliwa na Edward Lowassa, Rostam Aziz na Andrew Chenge kuwalinda mafisadi hawa na kuwashambulia maadui wa mafisadi hawa -- Sitta, Nape, Mwakyembe, Membe, Kikwete, etc.
Eti Lowassa waziri mkuu mstaafu? Pumbaf, huyu ni waziri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond. Kamwe historia hii haitafutika na itamtafuna mpaka mwisho kwenye mbio zake za sakafuni za kusaka urais 2015.
Kama wewe ni mmoja wa wanaotaka CCM iondolewe madarakani then usifadhaike.......yanachofanya magazeti uliyoyataja hapo juu ni kutumia "divide-and-overthrow" tactic.
Who else is there for overthrowing? Isn't it CCM (Lowassa, Rostam, Chenge, Sitta, Mwakyembe, JK, Nape, Sitta) that you also probably want out??