Another Hat-trick for Messi

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
3,811
1,604
With today's hat-trick+ (4 goals in match vs Espanyol), Leo Messi adds 50 goals in "personal account". With 50 goals against 45 of Cristian Ronaldo, with only on game to play, likely Messi will be the best scorer of the La Liga.
 
Messi ni habari nyingine, hata wapinzani wake inabidi wawe wapole tu... Hii itakuwa ya kumi kwake ktk mashindano yote kwa msimu huu.
 
Pamoja na kuwa mimi ni mpenzi wa Real, sioni sababu ya kutompongeza huyu kijana. Kila mwaka anavuja rekodi yake mwenyewe.
 
co best scorer wa la liga ni ulaya nzima tena na nadhani itakua ni duniani kiujumla coz dogo ana goli 72 kwa msimu wote. C mchezo
 
I real love this guy coz anakosa wa kumshindanisha ila tunalazimisha tu kumshindanisha
 
I real love this guy coz anakosa wa kumshindanisha ila tunalazimisha tu kumshindanisha
Uko sahihi Mkuu! Kwa wakati huu hakuna wa kumlinganisha na Messi. Pamoja na umahiri wake, hana kiburi, majivuno au tabia ya kujionesha kama CR7 au Eto'o alipokuwa anang'ara kwa mfano.
 
kuna siku niliwahi kuuliza...hivi wakati ule marefa wapo kina Mr Nilsen, Andrea Frings, Mr Marcus na kamanda Gigi Corina mbona hii timu ya Barcelona ilikuwa kama Kariakoo Lindi au mji Mpwapwa?

Basi Kuna mdau hapa akanijibu na kuniambia kuwa marefa wale walikuwa hawahofii halaiki ya washabiki na pia walikuwa hawaogopi umaarufu wa mchezaji.
Pia hawakuruhusu kinachosemekana kuitwa Rushwa wala Bakshishi.

Kisha mwengine akamalizia kwa kusema kipindi cha Rais wa UEFA alipokuwa Lenart Johanson hakukuwa na timu kubwa ilioitwa Barcelona.
Yaani kwa kipindi kicho Barca walikuwa kama Macabi Haifa au Genk ya ubelgiji.

Swali ni je nini kilitokea baada ya Platini kuwa Rais wa UEFA?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom