Mbona ana uso wa hasira? au watu wa Iringa ndivyo walivyo? mbona MOnica ni cute? May be ndio sababu ya kukosa mmeeep:
hapa alikuwa hajaanza uwizard
nimesikia wapuuzi wa ccm wakiongea tunaitaji bunge la spika mwanamke,...kiila nikiangalia najiuliza huyu kweli ni mwanamke??kwa waliokuwa wakifwatilia bunge waliona mambo aliokuwa akifanya mpaka kutukana wazee wetu na kuwalazimisha waketi kama wajuu zake kama vile we panya nakwambia kaa chini utaki...nimekaa nikajiuliza huyu mama ameolewa??najua wapo waliooana wenyewe kwa wenyewe ilinigarimu kuamini huyu mtu ni mwanamke jinsi alivyokuwa akijibu wabunge na mwaka huu atarajie matusi ya nguoni kwa vijana wa mjini kama si kuimbwa kwenye nyimbo kwa upuuzi anaotaka kuendelea nao.....labda maniasaidie jamani ni mwanamke mwanamume
mbona hapa jijini kunatetesi kuwa mdee nae ni jike dume?
Kuolewa ni fani. Amuoe nani kisilani huyo? Kinachoniuma zaidi, lile vazi la spika halimkai vizuri. Akili zake "SHAKE WELL".
La msingi siyo hilo wan JF. Can she advocate a fair fair play on a fair ground kama akiwa speaker?? hilo ndilo muhimu. Anna ni dictator no 1 na hana sifa ya kuongoza bunge kama hili. Ila wale "jamaa zetu" wanajua ndiye anayewafaa kuendeleza kimya na kuwanyamazisha wale wasiopenda mafisadi na ufisadi.
unataka kumuoa??
Thank you!
Rev
Hii picha imenifanye nitabasamu kwa mara ya kwanza leo!
Huyo nyuma ya PM ni Celina K au Tunu P? Looks like "she has been there and done that"?
Anne yupo kama askari "anavyobadilisha hatua" -kutoka mwendo wa pole kwenda mwendo wa haraka - Zero PR!
mbona hapa jijini kunatetesi kuwa mdee nae ni jike dume?