Katika kuwania kiti cha uspika ushindi wa Makinda ulisemekana kufadhiliwa zaidi na nguvu za mafisadi, ambao waltumia kila njia kumzima Samweli Sita. Na kwamkakati wao mafisadi waliweza kuhonga CC na kubadilisha kanuni ambayo haikuwepo kuwa sasa iwe zamu ya Wanawake, Kwa kupitia mgongo wa mafisadi Makinda alivhaguliwa kuwa Spika. Kuhusu Mafisadi kumsimamisha Spika wao ililamikiwa mara nyingi na SAMWELI SITTA.
kama ni hivyo Makinda ana uwezo gani wa kupambana na mafisadi? ikiwa mafisadi hawa waliweza kuhonga CC je harakati za sasa zitawezaje kuwa msada? ilihali tatizo hili ni kubwa?
kama ni hivyo Makinda ana uwezo gani wa kupambana na mafisadi? ikiwa mafisadi hawa waliweza kuhonga CC je harakati za sasa zitawezaje kuwa msada? ilihali tatizo hili ni kubwa?