Angalia kwenye Website ya Bunge mkuu, jamaa ameandikwa kuwa ni CEO wa hiyo kampuni, pia niliwahi kumsikia akijitaja ni mmiliki wa hiyo kamapuni wakati ule ameshiriki mgomo wa madaktari, alikuwa anahojiwa na Gerard Hando wa Clouds FM
Sorry ni hivi Huyu Mheshimiwa Alikuwa rafiki Mkubwa wa Maige wakati akimuomba vibali vya kuvuna misitu na alimpa KIBALI cha kuvuna na akakiuza kwa mamilioni. Hakuishia Hapo akaomba na vibali zaidi alipomnyima ndiyo imekuwa shida. Alimfanyia hivyo hivyo Ngereja. Akimaliza haja yake basi YEYE Harudi nyuma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.