Shushani Ngomeni
Member
- Nov 24, 2014
- 45
- 18
Wanasiasa wa bongo bana!! Nisaidieni kwa anayejua/anaeweza nataka kwenda kuishi Canada nitulizane huko kwanza miaka ishirini ndipo nipige simu bongo
Dili hilo. Jiulize why zito amesafiri. Kama chadema tuChama cha ACT-Wazalendo leo kimetangaza kumuondoa Anna Mghwira kwenye nafasi ya uenyekiti wa chama hicho.
KUHUSU MRITHI WA MGHWIRA: Chama cha ACT-Wazalendo leo kimemtangaza Yeremia Maganja kuwa Kaimu Mwenyekiti wa chama hicho hadi uchaguzi utakapoitishwa.
Next year utasikia kuwa Msajili hamtambui mwenyekiti mpya ............... au Anna akitumbuliwa kule anarudi na kudai sikujiuzulu!!Nani kaitisha hicho kikao wakati Mwenyekiti wa chama yupo ofisi kuu Kilimanjaro?
kwani ukiishi nchini lazima ufanye siasa?Wanasiasa wa bongo bana!! Nisaidieni kwa anayejua/anaeweza nataka kwenda kuishi Canada nitulizane huko kwanza miaka ishirini ndipo nipige simu bongo
Labda ''upinzani'' kwako una maana gani? Vitu vingine ni heri ukaficha upumbavu wako.Tanzania Hakuna Upinzan wa kweli asilimia kubwa ni Waongo Tuu
Heri siku nyingine ukaficha upumbavu wako kuliko kuja kujiaibisha kwa haya uliyoandika.Hakika dhambi na laana ya usaliti ishaanza kuwala wasaliti mchana kweupee pe,tulisha sema awali ACT ni CCM B.Leo CCM A na viongozi wao wameshindwa kuvunga wanaumbuka waziwazi.
Hakika hapa ndiyo utaamini ya kuwa Mungu yupo na UHAI, angalia Le Propese le TUMBO anavyoteseka naye eti M/Kiti wa M/Kiti wa vyama vya siasa le Mutungi le wasaliti.
Angalia Baby Josephine laana ilivyo mfanya hadi leo anaficha uso wake kuogopa na kuona aibu yakuwa dunia inamzomea.
My Take: Huu ni mwanzo tu mengi yanakuja....zaidi Le Goli la Mkono le Nape...na bado..
Wanachonifurahisha ACT ( Akiba ya Chama Tawala ) eti kuna kiongozi Mkuu ambaye ni Zitto Zuberi halafu kuna Mwenyekiti ndo alikuwa Mama Anna.Nani kaitisha hicho kikao wakati Mwenyekiti wa chama yupo ofisi kuu Kilimanjaro?