Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Napenda kutangaza nia ya kugombea jimbo la Mama Anna Makinda 2015. Mama naona kashindwa kazi, tangu aingie madarakani hamna chochote alichokifanyia jimbo letu. Kama mwanamke mwenzake, natumai wana CCM wataniunga mkono kulikomboa chama kutoka mikononi mwa mafisadi waliomteka mama yangu nje na ndani ya Bunge