umedhihirisha kabisa kwamba baadhi ya Vyama vya siasa vina wapenzi/washabiki wendawazimu na hivyo kuhofia hata uwezo wa vyama hivyo. Maneno kama "KUNYEA DEBE", "KUWA KITOWEO " umuhimu wake katika mada hii ni nini? Wewe Lema unamfahamu vizuri kweli? Kakak ama kweli usilolijua ni kama usiku wa giza. Nenda kakae vijiwe vya Arusha upate habari zake viziuri.
Wakuu...angelikuwa ni kamanda Lema amefanya aliyoyafanya Rage.....
1) angekuwa yupo segerea saa hizi
2) Shimbo wa jwtz angekuwa ametoa tamko, huku vifaru vichakavu vya jwtz vikitoa moshi kwa nyuma yake.
3) yule waziri mwenye ndugu zake kule Mahale national park angekuwa ameshatukana kwenye vyombo vyote vya habari
4) ngongo wa jf arusha angekuwa ameanzisha thread zaidi ya 10
5) jamaa zetu wasio na uvumilivu...ms, rejao na the like wangekuwa wanahamasisha viroboto wenzao kupinga kuvunjwa kwa amani
6) wale jamaa zetu wapendao ubwabwa na posho, wangekuwa wameshatoa tamko kali.
...........endeleza list hiyo mwenyewe!
Njoo uelimike na utoke katika giza ulioko tena fanya fasta na wale wenzio mnaowaza kwa masaburi.
napita.
Godbless Lema ana historia ya ujambazi wa magari hivyo mahakama ilimuamuru asikutwe amebeba silaha ya aina yoyote ile, hata kisu. Kwahiyo mleta hoja uko sahihi kabisa, yaani angekutwa na bastola ndiyo ungekuwa mwisho wake.
Tafuta data vizuri... hayo yote niliyoyawekea red tayari yameshamtokea Lema
siku lema akipewa silaha halafu kuwepo na maandamano atafanya mauji ya kutisha. Sidhani kama ana sifa za kumiliki hata kisu
mkuu!!!
wanasahau kuwa SMG zinatolewa sawa na bastola mkuu!!!
Godbless Lema ana historia ya ujambazi wa magari hivyo mahakama ilimuamuru asikutwe amebeba silaha ya aina yoyote ile, hata kisu. Kwahiyo mleta hoja uko sahihi kabisa, yaani angekutwa na bastola ndiyo ungekuwa mwisho wake.
mwenyewe unampenda lema pamoja na kumdis humu ndani. Mafanikio yake ndiyo yanayokupa homa ewe mzimu wa nape
Godbless Lema ana historia ya ujambazi wa magari hivyo mahakama ilimuamuru asikutwe amebeba silaha ya aina yoyote ile, hata kisu. Kwahiyo mleta hoja uko sahihi kabisa, yaani angekutwa na bastola ndiyo ungekuwa mwisho wake.
Mahakama ipi iliyomuamuru? ni mahakama ya kadhi au??
Mwita25 you never stop amazing me! Rage is a convicted criminal. Lema ni tuhuma tu! Sasa unataka tuamini nini? Tuhuma au a mhalifu ambaye alishakuwa convicted before the court of law!Get real dude!Godbless Lema ana historia ya ujambazi wa magari hivyo mahakama ilimuamuru asikutwe amebeba silaha ya aina yoyote ile, hata kisu. Kwahiyo mleta hoja uko sahihi kabisa, yaani angekutwa na bastola ndiyo ungekuwa mwisho wake.
Rage alikata rufaa akashinda kesi hii. Kumuita convicted criminal mnamwonea tu. Mahakama ilishamsafisha ndio maana akaweza kugombea UBUNGE.Mwita25 you never stop amazing me! Rage is a convicted criminal. Lema ni tuhuma tu! Sasa unataka tuamini nini? Tuhuma au a mhalifu ambaye alishakuwa convicted before the court of law!Get real dude!