Angalia Waafrika Tulivyopitia Wakati Mgumu Sana

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,768
21,253
20240311_110752.jpg

Hii ni picha juu ni ya jamaa yetu (mwafrika) mwanaume anayenyongwa kwa kutumia kifaa cha kunyongea kiitwacho garrote.

Picha chini ni garrote inavyoonekana kwa karibu sana, usigukilie kifaa kilivyo au maumivu yake yanakuwaje ila ni vipi binadamu aliunda kifaa hiki ili kitumike kutoa adhabu kwa mwenzake.

20240311_110741.jpg


Garrote ni kifaa cha kutekelezea mauaji hayo ambacho kimeandikwa kilitumika katika karne ya kwanza BC huko Roma.

Aliyehukumiwa alitakiwa kukaa na kufungwa na chuma shingoni mwake kabla ya mnyongaji kugeuza au kuzungusha skrubu ambayo kinadharia ingepasua ubongo wake, na kumuua papo hapo, ila hii ilipitia shingoni na kumtoboa hadi upande wa pili wa shingo.

Mateso haya ambayo mwafrika aliyapata kutokana na uenda kukaidi au kwenda kinyume na matakwa ya bosi wake kwa miaka hiyo, ilidhihilisha unyanywasaji mkubwa wa binadamu kwa karne hiyo.

Japo leo hakuna njia kama hiyo bado mwafrika anapitia changamoto kubwa sana.
 
View attachment 2934303
Hii ni picha juu ni ya jamaa yetu (mwafrika) mwanaume anayenyongwa kwa kutumia kifaa cha kunyongea kiitwacho garrote.

Picha chini ni garrote inavyoonekana kwa karibu sana, usigukilie kifaa kilivyo au maumivu yake yanakuwaje ila ni vipi binadamu aliunda kifaa hiki ili kitumike kutoa adhabu kwa mwenzake.

View attachment 2934305

Garrote ni kifaa cha kutekelezea mauaji hayo ambacho kimeandikwa kilitumika katika karne ya kwanza BC huko Roma.

Aliyehukumiwa alitakiwa kukaa na kufungwa na chuma shingoni mwake kabla ya mnyongaji kugeuza au kuzungusha skrubu ambayo kinadharia ingepasua ubongo wake, na kumuua papo hapo, ila hii ilipitia shingoni na kumtoboa hadi upande wa pili wa shingo.

Mateso haya ambayo mwafrika aliyapata kutokana na uenda kukaidi au kwenda kinyume na matakwa ya bosi wake kwa miaka hiyo, ilidhihilisha unyanywasaji mkubwa wa binadamu kwa karne hiyo.

Japo leo hakuna njia kama hiyo bado mwafrika anapitia changamoto kubwa sana.
Waafrika sasa hivi tunatekana wenyewe kwa wenyewe
 
View attachment 2934303
Hii ni picha juu ni ya jamaa yetu (mwafrika) mwanaume anayenyongwa kwa kutumia kifaa cha kunyongea kiitwacho garrote.

Picha chini ni garrote inavyoonekana kwa karibu sana, usigukilie kifaa kilivyo au maumivu yake yanakuwaje ila ni vipi binadamu aliunda kifaa hiki ili kitumike kutoa adhabu kwa mwenzake.

View attachment 2934305

Garrote ni kifaa cha kutekelezea mauaji hayo ambacho kimeandikwa kilitumika katika karne ya kwanza BC huko Roma.

Aliyehukumiwa alitakiwa kukaa na kufungwa na chuma shingoni mwake kabla ya mnyongaji kugeuza au kuzungusha skrubu ambayo kinadharia ingepasua ubongo wake, na kumuua papo hapo, ila hii ilipitia shingoni na kumtoboa hadi upande wa pili wa shingo.

Mateso haya ambayo mwafrika aliyapata kutokana na uenda kukaidi au kwenda kinyume na matakwa ya bosi wake kwa miaka hiyo, ilidhihilisha unyanywasaji mkubwa wa binadamu kwa karne hiyo.

Japo leo hakuna njia kama hiyo bado mwafrika anapitia changamoto kubwa sana.
da!!! MUNGU awalaani!!!!,kwa sasa wanaanza ku2brain wash kwa mambo ya kijinga sana,kama vile uhalali wa ndoa ya jinsia moja ili 2changanyikiwe kiakili alafu waje watutawale,,,,ninaposema kuchanganyikiwa kiakili na maanisha ivo,,,"naamini kama kuna mwana JF yoyote ameshapata bahati mbaya ya kukutana na msenge atanielewa,hawapo sawa kabisa,hawajiamini,muda wote wanaona aibu,wanasumbuliwa na matatizo ya mgongo,,,,,,kwa kifupi wanatia huruma sana"sasa ebu fikiria wakifanikiwa kwa hili jambo,baada ya miaka 30 kutakuwa na wanaume kweli? ata wakija kutuvamia,kuna m2 wa kupigana vita?"
 
View attachment 2934303
Hii ni picha juu ni ya jamaa yetu (mwafrika) mwanaume anayenyongwa kwa kutumia kifaa cha kunyongea kiitwacho garrote.

Picha chini ni garrote inavyoonekana kwa karibu sana, usigukilie kifaa kilivyo au maumivu yake yanakuwaje ila ni vipi binadamu aliunda kifaa hiki ili kitumike kutoa adhabu kwa mwenzake.

View attachment 2934305

Garrote ni kifaa cha kutekelezea mauaji hayo ambacho kimeandikwa kilitumika katika karne ya kwanza BC huko Roma.

Aliyehukumiwa alitakiwa kukaa na kufungwa na chuma shingoni mwake kabla ya mnyongaji kugeuza au kuzungusha skrubu ambayo kinadharia ingepasua ubongo wake, na kumuua papo hapo, ila hii ilipitia shingoni na kumtoboa hadi upande wa pili wa shingo.

Mateso haya ambayo mwafrika aliyapata kutokana na uenda kukaidi au kwenda kinyume na matakwa ya bosi wake kwa miaka hiyo, ilidhihilisha unyanywasaji mkubwa wa binadamu kwa karne hiyo.

Japo leo hakuna njia kama hiyo bado mwafrika anapitia changamoto kubwa sana.
Hii adhabu ni nzuri sana, inatakiwa ifanyike kwa viongozi wabadhirifu wa serikali na watumishi wa umma.
 
Si shetani aliwaambia wazazi wetu kuwa tutakuwa poa bila Mungu.... aaaya sasa je tumekuwa kama Mungu??(mwanzo 3:4,5).

Yote kwa yote.
Yeremia 10:23..mwanadamu hawezi kujiongoza, sasa kama hawez kujiongoza atawaongozaje wengne?..
Mhubiri 8:9.. Mwanadamu amemtawala mwanadamu kwa kumuumiza..

Mwisho, mathayo 6:10.. Ufalme wako na uje.....

Its only God's kingdom that can rectify this and all other harms/evil that has been done by human rule..
 
View attachment 2934303
Hii ni picha juu ni ya jamaa yetu (mwafrika) mwanaume anayenyongwa kwa kutumia kifaa cha kunyongea kiitwacho garrote.

Picha chini ni garrote inavyoonekana kwa karibu sana, usigukilie kifaa kilivyo au maumivu yake yanakuwaje ila ni vipi binadamu aliunda kifaa hiki ili kitumike kutoa adhabu kwa mwenzake.

View attachment 2934305

Garrote ni kifaa cha kutekelezea mauaji hayo ambacho kimeandikwa kilitumika katika karne ya kwanza BC huko Roma.

Aliyehukumiwa alitakiwa kukaa na kufungwa na chuma shingoni mwake kabla ya mnyongaji kugeuza au kuzungusha skrubu ambayo kinadharia ingepasua ubongo wake, na kumuua papo hapo, ila hii ilipitia shingoni na kumtoboa hadi upande wa pili wa shingo.

Mateso haya ambayo mwafrika aliyapata kutokana na uenda kukaidi au kwenda kinyume na matakwa ya bosi wake kwa miaka hiyo, ilidhihilisha unyanywasaji mkubwa wa binadamu kwa karne hiyo.

Japo leo hakuna njia kama hiyo bado mwafrika anapitia changamoto kubwa sana.
Kama kifaa hichi kingetumiwa na waarabu hapa komenti zingejaa kwelikweli.
 
Si shetani aliwaambia wazazi wetu kuwa tutakuwa poa bila Mungu.... aaaya sasa je tumekuwa kama Mungu??(mwanzo 3:4,5).

Yote kwa yote.
Yeremia 10:23..mwanadamu hawezi kujiongoza, sasa kama hawez kujiongoza atawaongozaje wengne?..
Mhubiri 8:9.. Mwanadamu amemtawala mwanadamu kwa kumuumiza..

Mwisho, mathayo 6:10.. Ufalme wako na uje.....

Its only God's kingdom that can rectify this and all other harms/evil that has been done by human rule..
Sikiliza hiyo hapo ndg mchungaji 😃!.
 
View attachment 2934303
Hii ni picha juu ni ya jamaa yetu (mwafrika) mwanaume anayenyongwa kwa kutumia kifaa cha kunyongea kiitwacho garrote.

Picha chini ni garrote inavyoonekana kwa karibu sana, usigukilie kifaa kilivyo au maumivu yake yanakuwaje ila ni vipi binadamu aliunda kifaa hiki ili kitumike kutoa adhabu kwa mwenzake.

View attachment 2934305

Garrote ni kifaa cha kutekelezea mauaji hayo ambacho kimeandikwa kilitumika katika karne ya kwanza BC huko Roma.

Aliyehukumiwa alitakiwa kukaa na kufungwa na chuma shingoni mwake kabla ya mnyongaji kugeuza au kuzungusha skrubu ambayo kinadharia ingepasua ubongo wake, na kumuua papo hapo, ila hii ilipitia shingoni na kumtoboa hadi upande wa pili wa shingo.

Mateso haya ambayo mwafrika aliyapata kutokana na uenda kukaidi au kwenda kinyume na matakwa ya bosi wake kwa miaka hiyo, ilidhihilisha unyanywasaji mkubwa wa binadamu kwa karne hiyo.

Japo leo hakuna njia kama hiyo bado mwafrika anapitia changamoto kubwa sana.
Kwa sasa tunafanyiwa haya na wenzetu hakuna tofauti
 
Back
Top Bottom