abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
[h=1]Jee hawa hawajapigwa Mabomu?
Khitma ya kuwaombea maiti za Mv. Skagit[/h]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein wapili kutoka kulia akijumuika na Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi katika Khitma na Dua ya kuwaombea marehemu waliofariki kwa ajali ya Meli ya Skagit iliozama karibu na kisiwa cha chumbe 18/07/2012 katika Msikiti wa Mushawwara Muembe shauri Zanzibar
[h=1]JEE HAWA NDIO WAKUPIGWA MABOMU?
Viongozi wa Uamsho watafutwa, 40 mbaroni[/h]Posted on July 22, 2012 by zanzibaryetu
Viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) kushoto ni Azzan Khalid Hamdan, Msellem Ali Msellem, Farid Hadi Ahmed, Khamis, na Mussa Juma Issa wakiswali katika Msikiti wa Mbuyuni kabla ya kusambaratishwa na Kikosi cha kutuliza Ghasia (FFU)
Khitma ya kuwaombea maiti za Mv. Skagit[/h]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohd Shein wapili kutoka kulia akijumuika na Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi katika Khitma na Dua ya kuwaombea marehemu waliofariki kwa ajali ya Meli ya Skagit iliozama karibu na kisiwa cha chumbe 18/07/2012 katika Msikiti wa Mushawwara Muembe shauri Zanzibar
[h=1]JEE HAWA NDIO WAKUPIGWA MABOMU?
Viongozi wa Uamsho watafutwa, 40 mbaroni[/h]Posted on July 22, 2012 by zanzibaryetu
Viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) kushoto ni Azzan Khalid Hamdan, Msellem Ali Msellem, Farid Hadi Ahmed, Khamis, na Mussa Juma Issa wakiswali katika Msikiti wa Mbuyuni kabla ya kusambaratishwa na Kikosi cha kutuliza Ghasia (FFU)