KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Watoto hawa wapo kwenye shock na hofu ya kutisha,taifa na viongozi wanatakiwa kusimami a sheria ili mambo yanyooke,vinginevyo kila siku itakuwa vilio tu.
Viongozi wajiulize kwa nini nchi kama Japani karibu kila raia ana gari lakini ajali kwa mwaka mfano mwaka jana ni asilimia1.2, Tanzania ni asilimia 43.8, mwaka huu tayari imefika asilimia 57.3
Viongozi wajiulize kwa nini nchi kama Japani karibu kila raia ana gari lakini ajali kwa mwaka mfano mwaka jana ni asilimia1.2, Tanzania ni asilimia 43.8, mwaka huu tayari imefika asilimia 57.3