Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 2,643
- 1,531
asikudanganye MTU,tz hamna sehemu mbaya ya kuishi,kafanye kazi,tumia mshahara kufanya savings. ukifikisha 1,000,000 anza kilimo cha ufuta kinalipa sana liwale,pia unaweza anza business ya mbao kwa kununua rejareja toka kwa wapasuaji ukaziuza kwa wanaopeleka dar
ila itabidi upate usafiri(pikipiki) na nishati(solar)
unipm kati ya trh 1-2 nikutafutie mwrnyeji huko
ila itabidi upate usafiri(pikipiki) na nishati(solar)
unipm kati ya trh 1-2 nikutafutie mwrnyeji huko