Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,603
Faida ipo kwenye depreciation... Biashara yote inayotumia fixed assets.. Faida wanaipata kwenye depreciation provision..Biashara ya Mabasi ni ya ajabu hukuna faida wanayopata lakini wananunua basi jipya kila Siku
If ypu know you know