jambo wadau. naomba kwa mwenye kujua. nimekuwa nikikinga maji ya mvua ila yakikaa baada ya muda huwa yanakawaida ya kuteleza. nifanye nini iliyakae muda mrefu ukichukulia hali ya upatikanaji wa maji ni íssue.
nashukuru wakuu mmenipa mwanga nafanyia jazi ushauri wenu
mr.mbilinyi nataka kujua huduma za kupima maji(nitrate) zikoje gharama,sehemu gani? Mi nipo moro