Mi ninayo ya tigopesa kwa anayehitaji laki 6 tu na mpesa laki 2 tu ni pm tufanye biashara
A cha utoto we mgonjwa ungekuwa na lengo la kuuza si ungeanzisha uzi wako aisee....acha mambo ya kizamani bhana, unaboa kichizi yan
Biashara matangazo ajitokeze mwingine anaeuza laki na nusu tuongee biashara
A cha utoto we mgonjwa ungekuwa na lengo la kuuza si ungeanzisha uzi wako aisee....acha mambo ya kizamani bhana, unaboa kichizi yan
Anaehitaji line ya Airtel Money,tiGO-Pesa,M-Pesa na Eazy Pesa naziuza,na pia nitamsadia jinsi ya kubadilisha majina bure kabisa. Kwa Airtel Money nauza 150,000, tiGO-Pesa 180,000, M-Pesa 150,000 na Eazy Pesa 100,000.
Anaehitaji line ya Airtel Money,tiGO-Pesa,M-Pesa na Eazy Pesa naziuza,na pia nitamsadia jinsi ya kubadilisha majina bure kabisa. Kwa Airtel Money nauza 150,000, tiGO-Pesa 180,000, M-Pesa 150,000 na Eazy Pesa 100,000.
Habari wana Jf.
Kwa yeyote anayehitaji line ya tigo pesa na vodacom m-pesa anitafute, nipo dar na bei yake ni Tsh laki nane (800000) kwa line ya tigo na Tsh laki nne (400000) kwa line ya voda. Unaweza kunipm kwa anayehitaji plz
Anaehitaji line ya Airtel Money,tiGO-Pesa,M-Pesa na Eazy Pesa naziuza,na pia nitamsadia jinsi ya kubadilisha majina bure kabisa. Kwa Airtel Money nauza 150,000, tiGO-Pesa 180,000, M-Pesa 150,000 na Eazy Pesa 100,000.
Anaehitaji line ya
Airtel Money,tiGO-Pesa,M-Pesa na Eazy Pesa naziuza,na pia nitamsadia
jinsi ya kubadilisha majina bure kabisa. Kwa Airtel Money nauza 150,000,
tiGO-Pesa 180,000, M-Pesa 150,000 na Eazy Pesa 100,000.
kaka bado unazo maana natafuta sana.
Sasa nimepunguza bei tigo pesa laki 6 Voda laki 2Hizo laini mbona unauza gharama hivyo au unataka na commission mpesa zinauzwa 150000-200000 . Tigo 500000. Punguza bei uuze.
Anaehitaji line ya Airtel Money,tiGO-Pesa,M-Pesa na Eazy Pesa naziuza,na pia nitamsadia jinsi ya kubadilisha majina bure kabisa. Kwa Airtel Money nauza 150,000, tiGO-Pesa 180,000, M-Pesa 150,000 na Eazy Pesa 100,000.
Mi ninayo ya tigopesa kwa anayehitaji laki 6 tu na mpesa laki 2 tu ni pm tufanye biashara