guys mi nina mpenzi ambaye tuliachana then tukaludiana,tena kwa kuwaacha wapenzi tuliokua nao.The problem ni kwamba nashangaa sasa ivi mwenzangu hanijali tena.nikimtumia msg ajibu,amekua mkali nikiongea nae na wala ajisikii kunipigia.yan naona kiufupi ajisikii kuhusu mimi,nampenda sana sijui nifanyeje na najua tuliludiana kwasababu tulikua tunapendana sana.nifanyeje wadau