SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Kweli inatisha!
Nwyz kama huyo msichana yuko tayari kuachana na hiyo laana
ajipange ahamie mbali na huyo mzee wake, na akate mawasiliano
nae kabisa....au hata familia nzima ikibidi...for a while.
Au ajitoe mhanga....amuite mama yake, ndugu mmoja wa karibu kutoka upande
wa mama na mmoja upande wa baba, bila kusahau dr. awepo karibu
alafu awaambie ukweli!Ukweli ukishajulikana sidhani kama huyo mzee
atamuua....kama kweli amesema na kumaanisha hivyo!
Haiwezekani Lizzy. Huyu msichana anayesemwa hapa keshanogewa kama wasichana wengine wanapokuwa na maboifrend wao. Inakuwa vigumu sana kujitoa kwenye huo uhusiano mpaka labda watakapofumaniwa na mwanafamilia mmoja.