last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,703
- 3,926
Kuonja lazima
Hilo nalo nenoKaa ukijua kuwa kutolewa mahari plus kutambulishwa sio kufunga ndoa, pili ndoa hailazimishwi na inavyoonekana mwenzio anataka kukuridhisha tu kwa kutoa mahari ila hayuko tayari kuoa
Bahati mbaya hata huyo mume ana watoto wawili kwa mama tofauti, halafu anataka amzalie kama alivyowazalisha wengine wawili na bado dada yetu anaomba ushauri! Sijui anataka ushauri gani wakati ana macho.Huyo sio muoaji, anataka akufanye Single Mother
Wenzako wawili ameshawageuza single mothers nawe unaelekea hukohuko kama hushirikishi vizuri halmashauri ya ubongo wako.Naogopa kuwa single maza kwakweli
Kishika uchumba kimenikumbusha makinikia.Mwambie akatoe mahari kwenu hata ya elfu hamsini kama kishika uchumba. Kama hana, mpe wewe. Akikataa hilo, KATAA kuishi naye. Siku hizi matapeli wengi.
Watu wanatolewa milioni na bado wanaachwaMwambie akatoe mahari kwenu hata ya elfu hamsini kama kishika uchumba. Kama hana, mpe wewe. Akikataa hilo, KATAA kuishi naye. Siku hizi matapeli wengi.
I makinikia etiKishika uchumba kimenikumbusha makinikia.
uii cheti cheti siku mkigombana unakichukua unakiangalia weeeeee kutafuta expiry date lakini loo hakunaAlie anza kutoa cheti kabla ya mafunzo hakuwa mjinga