Anatafutwa mrembo

Fidel80

JF-Expert Member
May 3, 2008
21,947
4,445
Huyu mrembo popote pale alipo anatafutwa.
TPB-ANATAFUTWA-1.jpg
 

Attachments

  • TPB-ANATAFUTWA-1.jpg
    TPB-ANATAFUTWA-1.jpg
    47.3 KB · Views: 76
mwacheni achukue chake mapema!!

Mbona mafisadi wlalio chukua ma milio ya fedha mmekaa nao hamuwakamati???????????

well done we mdada mie nikikuona wala hata siripoti popote.
 
huyu kama kweli katorokea majuu cha msingi afanye kazi kwa bidii ili siku moja aje kumlipa mwajiri wake ili aishi kwa furaha
 
yethuuu...yaani kumbe Lilian ulikuwa unadoka kwa mwajiri wako mihela yote ile!!!
 
mwacheni achukue chake mapema!!

Mbona mafisadi wlalio chukua ma milio ya fedha mmekaa nao hamuwakamati???????????

well done we mdada mie nikikuona wala hata siripoti popote.

tatizo utakuta kaiba hela za mbuzi tu milioni 2 angeiba milioni 200 anajificha Somalia hapo
 
Ingekuwa na mafisadi yanatangazwa na kutafutwa kwa style hii!!! sijui tanzania tungekuwa wapi leo hii!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom