Walitakiwa wapige picha kwa juujuu, sasa wao wamekosea wakapiga mpaka suruali na viatu!Hebu badilisha heading yako! Unataka TBC waoneshe nin wakati hiyo ndio hali halis ya Mtanzani?
|
| |
|
"Wito wa kujivua gamba haujapewa mwitikio mzuri. Tumetupa mpira huo kwa wanachama kuwawajibisha viongozi hao, maana tunawafahamu. Sasa kazi kwetu sote," alisema Rais Kikwete.
eleza kinaga ubagahali niliyoishuhudia leo hapa mwanza,ccm kushney!