Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Salaam wana MMU
Sijui niseme kanichoka
Sijui kaona mi baga sina hela
Sijui ananionaje huyu mwanamke
Mimi ni baba wa mtoto mmoja,na nimekua na huyu mzazi mwenzangu kwa almost 5 years
Mwenzangu kabahatika kupata ajira nzuri yenye salary nono
Tunaishi mbalimbali japo sio sana ,yani tupo mikoa jirani
Tangu Jana nampigia simu huyu mwanamke kumuuliza kama ameomba ruhusa kazini ili aje nimsindikize clinic anatatizo flani la uzazi hivyo anafanyia vipimo vya Mara kwa Mara
Badala ya kunijibu vizuri ananipayukia Mara tuma nauli Mara nisimsumbue mi nikapandisha jazba akaniambia basi siwezi kuja usije ukanipiga ,mi nikakata simu
Leo nampigia na kumsalimia na kumuuliza kuhusu route yake ya huku aje weekend hii tukae wote hadi j3 ili nimsindikize medical ananijibu hawezi kuja anakuja j3 asubuhi anaenda hospital akimaliza anaondoka
Hii ina maana hata kwangu hatakanyaga,huyu mwanamke najitahidi kumheshimu lakini naona kila siku analeta dharau
Nina muda sijasex nae nimemwita ili tupate kukaa faragha japo hizi siku 2 anaishia kunijibu anakuja j3 asubuhi na anarudi kwake ina maana suala la kuja kwangu weekend kalikacha ,hii ni haki jamanii tumezaa mtoto mmoja lakini anavyonifanyia sometimes ni utoto kila nikipiga simu hazipiti siku 2 lazima tukwaruzane
Je kitendo cha kuja na kuondoka pasipo kupitia ninapoishi mzazi mwenzake ni haki jamanii?? nafadhaika sana moyoni.
Sijui niseme kanichoka
Sijui kaona mi baga sina hela
Sijui ananionaje huyu mwanamke
Mimi ni baba wa mtoto mmoja,na nimekua na huyu mzazi mwenzangu kwa almost 5 years
Mwenzangu kabahatika kupata ajira nzuri yenye salary nono
Tunaishi mbalimbali japo sio sana ,yani tupo mikoa jirani
Tangu Jana nampigia simu huyu mwanamke kumuuliza kama ameomba ruhusa kazini ili aje nimsindikize clinic anatatizo flani la uzazi hivyo anafanyia vipimo vya Mara kwa Mara
Badala ya kunijibu vizuri ananipayukia Mara tuma nauli Mara nisimsumbue mi nikapandisha jazba akaniambia basi siwezi kuja usije ukanipiga ,mi nikakata simu
Leo nampigia na kumsalimia na kumuuliza kuhusu route yake ya huku aje weekend hii tukae wote hadi j3 ili nimsindikize medical ananijibu hawezi kuja anakuja j3 asubuhi anaenda hospital akimaliza anaondoka
Hii ina maana hata kwangu hatakanyaga,huyu mwanamke najitahidi kumheshimu lakini naona kila siku analeta dharau
Nina muda sijasex nae nimemwita ili tupate kukaa faragha japo hizi siku 2 anaishia kunijibu anakuja j3 asubuhi na anarudi kwake ina maana suala la kuja kwangu weekend kalikacha ,hii ni haki jamanii tumezaa mtoto mmoja lakini anavyonifanyia sometimes ni utoto kila nikipiga simu hazipiti siku 2 lazima tukwaruzane
Je kitendo cha kuja na kuondoka pasipo kupitia ninapoishi mzazi mwenzake ni haki jamanii?? nafadhaika sana moyoni.