sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Jamaa mmoja alikua anakata roho,muda huo mkewe alikua karibu nae,jamaa akamwambia mkewe"mke wangu naomba unisamehe kuna kosa kubwa nimekufanyia,nilitembea na dada yako,mdogo wako,rafiki yako na mama yako".Mkewe akamnong'oneza nayafahamu yote hayo ndio maana nimekupa sumu"